Fiston akiwafunga Al Hilal atakuwa amejitangaza zaidi Afrika

Fiston akiwafunga Al Hilal atakuwa amejitangaza zaidi Afrika

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Fiston Mayele akiwafunga hawa Al Hilal goli zaidi ya moja inawezekana akawa mchezaji anaye ogopwa zaidi Afrika.

Na inawezekana akawa mchezaji wa kwanza wa Afrika kutangazwa na vyombo vya habari vya nje ya Afrika tena kwa kumsifia saana

Unajua Fiston Mayele ni mchezaji mwenye nyota ya hatari saana ya umaarufu sio kwamba Fiston Mayele ni namba 9 bora zaidi Tanzania bali Fiston Mayele ana nyota moja ya ajabu.

Hizi hapa ni baadhi ya comment za mashabiki wa Al Hilal
Wanaomba Mungu awaepushie na moto wa Fiston Mayele


Screenshot_20220930_090521_com.facebook.katana.jpg
 
Hapo Yanga wasivo na akili wamefurahia uzi wako
 
Vyombo vya Abari, Atari ndio mdudu gani?. Usituletee Kiswahili cha Kikongo hapa
 
Hapo yanga wasivo na akili wamefurahia uzi wako
Mayele anawatesa sana wallah..!!! Yaani kule kutetema kwake kwenu bora afunge yeyote lakini si Mayele..!! Halafu mnaumia akiifunga timu yoyote, achia mbali makolo
 
WANA SIMBA TUKAMPGIE KURA BOULAYE DIA KWA WINGI [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Kwan Al Hilal wananin wasifungwe na Mayele
 
Back
Top Bottom