kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Una jua tofauti na uwezo wake wa kufunga Fiston mayele ana nyota ya umaarufu. Toka nizaliwe sijawahi kuona au kumsikia mchezaji yeyote kwenye league yetu hii ya Tanzania ambaye alikuja na upepo au alikuwa na upepo ambao fiston mayele amekuja nao kwenye league yetu labda kipindi sijazaliwa welikuwepo sijui, Ila fisto mayele ndiye mchezaji ambaye amefanya league yetu kwasasa kuwa maarufu ndani na nje ya nchi
Najua mtabisha kwasababu ya ushabiki.
Ila ukweli ni hivi fiston mayele ndiye mchezaji ambaye amepostiwa na mitandao mingi ya kijamii ya Afrika kuliko mchezaji yeyote apa inchini na africa kwa jumla.
Fiston mayele amekiki zaidi inchini kuliko ata wasanii wa music na bongo movie. Na kuna mda najiuliza hivi wasanii wapo mbona hawakiki tena kama walivyo kuwa wanakiki mwanzo?kwa watoto wadogo ni
Fiston style
Kwa wazee fiston style
Kwa wamama fiston style
Kila kona inchini ni fiston style
Najua mtabisha kwasababu ya ushabiki.
Ila ukweli ni hivi fiston mayele ndiye mchezaji ambaye amepostiwa na mitandao mingi ya kijamii ya Afrika kuliko mchezaji yeyote apa inchini na africa kwa jumla.
Fiston mayele amekiki zaidi inchini kuliko ata wasanii wa music na bongo movie. Na kuna mda najiuliza hivi wasanii wapo mbona hawakiki tena kama walivyo kuwa wanakiki mwanzo?kwa watoto wadogo ni
Fiston style
Kwa wazee fiston style
Kwa wamama fiston style
Kila kona inchini ni fiston style