ni mchezaji wa yanga mlitaka aibebe azam?Kwenye asilimia 100% ya mafanikio ya Yanga msimu huu Mayele ana asilimia 80% peke yake.
Kama una cheki vizuri game za Yanga basi ukweli huu utakubaliana nao. Ukiangalia jinsi Yanga wanavyo cheza msimu huu bila player maker mzuri kama vile chama na wengine. Na aina ya magoli ambayo Mayele anafunga hakika ana stahili heshima yake.
Kuna baadhi ya magoli ambayo anafunga kwa kuanzisha mashambulizi mwenyewe anashuka mpaka nyuma kule kwenda kuchukuwa mipira na kupanda nayo.
Halafu anatokea mtu from no where eti ambaye ni mchezaji ambaye ana subiri mipira inbox.
Kwahiyo Simba kwavile inashiinda magoli 3+ ndio wana chemistry ya timu?Chemistry ya timu ndio kila kitu, kumtegemea mtu mmoja kama malaika ni ushamba, ndio maana kila siku ushindi ni 1-0!
Mwishowe kuongoza ligi huku unatetemeka..
Kama nyie mlivyopata wazimu baada ya chama kutolewaChemistry ya timu ndio kila kitu, kumtegemea mtu mmoja kama malaika ni ushamba, ndio maana kila siku ushindi ni 1-0!
Mwishowe kuongoza ligi huku unatetemeka..
Siku timu ijichanganye hapo taifa iwe pungufu then waendelee kufunguka kama prison na mcc walivyofunguka dhidi ya makolo ndio utaona siku hiyo mtu anapigwa hata goli 10,shida hivyo vitimu vikicheza na Yanga vinasaka droo timu nzima inacheza chini,juzi mcc wako pungufu lakini makolo waliomba mpira uisheChemistry ya timu ndio kila kitu, kumtegemea mtu mmoja kama malaika ni ushamba, ndio maana kila siku ushindi ni 1-0!
Mwishowe kuongoza ligi huku unatetemeka..
Kwani lengo la kusajiliwa kwake lilikuwa ni nini?Kwenye asilimia 100% ya mafanikio ya Yanga msimu huu Mayele ana asilimia 80% peke yake.
Kama una cheki vizuri game za Yanga basi ukweli huu utakubaliana nao. Ukiangalia jinsi Yanga wanavyo cheza msimu huu bila player maker mzuri kama vile chama na wengine. Na aina ya magoli ambayo Mayele anafunga hakika ana stahili heshima yake.
Kuna baadhi ya magoli ambayo anafunga kwa kuanzisha mashambulizi mwenyewe anashuka mpaka nyuma kule kwenda kuchukuwa mipira na kupanda nayo.
Halafu anatokea mtu from no where eti ambaye ni mchezaji ambaye ana subiri mipira inbox.
Kwenye asilimia 100% ya mafanikio ya Yanga msimu huu Mayele ana asilimia 80% peke yake.
Kama una cheki vizuri game za Yanga basi ukweli huu utakubaliana nao. Ukiangalia jinsi Yanga wanavyo cheza msimu huu bila player maker mzuri kama vile chama na wengine. Na aina ya magoli ambayo Mayele anafunga hakika ana stahili heshima yake.
Kuna baadhi ya magoli ambayo anafunga kwa kuanzisha mashambulizi mwenyewe anashuka mpaka nyuma kule kwenda kuchukuwa mipira na kupanda nayo.
Halafu anatokea mtu from no where eti ambaye ni mchezaji ambaye ana subiri mipira inbox.
Hakika, halipwi sababu ya kung’aa sharubu..Ehee sio kuibeba sema anaitimia ajira yake vizuri mkuu
Huu Uongo muwe mnasimuliana jikoni. Mchezaji mmoja anawezaje kuchangia asilimia 80 ya mafanikio ya timu? Yaani anafunga, anakaba, anazuia, anatoa pasi za mwisho isipokuwa kudaka?Kwenye asilimia 100% ya mafanikio ya Yanga msimu huu Mayele ana asilimia 80% peke yake.
Kama una cheki vizuri game za Yanga basi ukweli huu utakubaliana nao. Ukiangalia jinsi Yanga wanavyo cheza msimu huu bila player maker mzuri kama vile chama na wengine. Na aina ya magoli ambayo Mayele anafunga hakika ana stahili heshima yake.
Kuna baadhi ya magoli ambayo anafunga kwa kuanzisha mashambulizi mwenyewe anashuka mpaka nyuma kule kwenda kuchukuwa mipira na kupanda nayo.
Halafu anatokea mtu from no where eti ambaye ni mchezaji ambaye ana subiri mipira inbox.