supa mayele
Ni wakati wake ulifika regardless, popote angengβaa tu.Ashukuru Yanga ilimpaisha kimataifa
si kuna msemo naona unaenezwa humu unasema kwamba (ukiondoka Yanga kwisha habari yako) tena na mifano ikatolewa kedekede. Sasa inakuwaje kwa Mayele inakuwa tofauti!Ashukuru Yanga ilimpaisha kimataifa
Kwasababu mayele alionyesha ,bidii,heshima,maelewano na wenye timu so nyota yake haikufa japo usemi waweza kuwa kweli japo sina ushahidi kwa sasasi kuna msemo naona unaenezwa humu unasema kwamba (ukiondoka Yanga kwisha habari yako) tena na mifano ikatolewa kedekede. Sasa inakuwaje kwa Mayele inakuwa tofauti!
UKo vzrKwasababu mayele alionyesha ,bidii,heshima,maewano na wenye timu so nyota yake haikufa japo usemi waweza kuwa kweli japo sina ushahidi kwa sasa
Takwimu zinatia uchungu
Dad mbna sikuonagi kwenye Uzi wa yanga au umejiunga humu majuz ninAlituheshimisha, tunamtakia kheri.
Kachambua vzr Kweli[emoji1787][emoji1787]UKo vzr
Kuna nini huko
ππππMayele ni jini