Fiston Mayele anazidi kutetema Misri

Fiston Mayele anazidi kutetema Misri

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,492
Reaction score
2,361
Screenshot_20231027-185735~2.png
 
si kuna msemo naona unaenezwa humu unasema kwamba (ukiondoka Yanga kwisha habari yako) tena na mifano ikatolewa kedekede. Sasa inakuwaje kwa Mayele inakuwa tofauti!
Kwasababu mayele alionyesha ,bidii,heshima,maelewano na wenye timu so nyota yake haikufa japo usemi waweza kuwa kweli japo sina ushahidi kwa sasa
 
Back
Top Bottom