Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kama ni rahisi kafunge na wewe.Anashusha hadhi ya Ligi hiyo , Haiwezekani , anafunga magoli kirahisi namna ile , Bila shaka mabeki Wanamuogopa .
View attachment 2428505
Aondolewe ili kulinda hadhi ya Ligi ya NBC , Maana katika hali ya kawaida haiwezekani mtu mmoja kufunga magoli kila mechi yeye tu .
Kuna mapimbi fulani hivi walianza kumpambanisha uyo phiri na mayele kipindi mayele ajafunga mechi 3 sasa hivi wamejificha kusikojulikanaEti generall phirii dah ,generali wa nn Mbna kaachwa parefu sanaa
Tatzo la afya ya akili kweli lipo.Una uhakika kafunga kila mechi? Hakika uto ni uto. Msimu uliopita alikuwepo na kiatu alichukua Gorge Mpole. Huyo ni msindikizaji tu Phiri mwenye kiatu chake atampita.
Phiri na Kibu wanashindwaje kufunga magoli kirahisi?Anashusha hadhi ya Ligi hiyo , Haiwezekani , anafunga magoli kirahisi namna ile , Bila shaka mabeki Wanamuogopa .
View attachment 2428505
Aondolewe ili kulinda hadhi ya Ligi ya NBC , Maana katika hali ya kawaida haiwezekani mtu mmoja kufunga magoli kila mechi yeye tu .
Sasa huoni mchezaji wetu Kibu Denis atakosa mpinzani wa kweli kwenye mbio za ufungaji bora!Anashusha hadhi ya Ligi hiyo , Haiwezekani , anafunga magoli kirahisi namna ile , Bila shaka mabeki Wanamuogopa .
View attachment 2428505
Aondolewe ili kulinda hadhi ya Ligi ya NBC , Maana katika hali ya kawaida haiwezekani mtu mmoja kufunga magoli kila mechi yeye tu .