Fiston Mayele aondolewe kwenye Ligi ya NBC

Fiston Mayele aondolewe kwenye Ligi ya NBC

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Anashusha hadhi ya Ligi hiyo , Haiwezekani , anafunga magoli kirahisi namna ile , Bila shaka mabeki Wanamuogopa .

JamiiForums1128872776_720x720.jpg


Aondolewe ili kulinda hadhi ya Ligi ya NBC , Maana katika hali ya kawaida haiwezekani mtu mmoja kufunga magoli kila mechi yeye tu .
 
Una uhakika kafunga kila mechi? Hakika uto ni uto. Msimu uliopita alikuwepo na kiatu alichukua Gorge Mpole. Huyo ni msindikizaji tu Phiri mwenye kiatu chake atampita.
 
Anashusha hadhi ya Ligi hiyo , Haiwezekani , anafunga magoli kirahisi namna ile , Bila shaka mabeki Wanamuogopa .

View attachment 2428505

Aondolewe ili kulinda hadhi ya Ligi ya NBC , Maana katika hali ya kawaida haiwezekani mtu mmoja kufunga magoli kila mechi yeye tu .
Phiri na Kibu wanashindwaje kufunga magoli kirahisi?
 
Anashusha hadhi ya Ligi hiyo , Haiwezekani , anafunga magoli kirahisi namna ile , Bila shaka mabeki Wanamuogopa .

View attachment 2428505

Aondolewe ili kulinda hadhi ya Ligi ya NBC , Maana katika hali ya kawaida haiwezekani mtu mmoja kufunga magoli kila mechi yeye tu .
Sasa huoni mchezaji wetu Kibu Denis atakosa mpinzani wa kweli kwenye mbio za ufungaji bora!
 
Toka siku ile nashuhudia Sakho anafunga goli alafu anashangilia kizombie vile nikaunganisha na tukio la kukamwatwa na sembe kwa kocha wenu nimeamini wachezaji wa Simba alikuwa wanatumia sembe na ndio maana saizi asilimia 90 yao wameshuka viwango ghafla!!
 
Back
Top Bottom