Hawa jamaa wanachekesha sana wao kila mwaka wanamsajili Triple C mtandaoni...Kila mwaka mnamsajili Chama utopolo hamchoki tuuu.
Kwanini? Kwani Chama si ni mchezaji wa kulipwa?Mkimsajili chama nakula wembe
Uwe makini unapokwenda kuunyaMkimsajili chama nakula wembe
Nyie kila mwaka mnamuuza Mayele makolo hamchoki tuu.Kila mwaka mnamsajili Chama utopolo hamchoki tuuu.
Pole Sana kwa maumivu yatokanayo na hofu,usiogope,yanga hawawezi msajili chama,wameenea pale katiUnakuta na wewe una mavuzi kabisa na unaitwa baba watoto. Wanawake poleni sana maana mnakumbana na gubu za hovyo sana kama hili punga.
Hivi Tanzania tuna ushamba gani huu iliopitiliza?
Pole sana kwa matusi unayotukanwa. Ungekuja na uzi wa kusifia, muda huu ungekuwa unapongezwa tu na mashabiki wenzako wasiopenda mawazo mbadala.Mimi kama shabiki kindaki ndani wa Mo 29, nimekubali yaishe, mwaka huu tunapigwa tena. Hasira zangu ntamalizia kwa Ahmed Ally😥
Tangu aingie anatujaza matumaini hewa tu, boss nayeye amechoka na anasema atakata tamaa soon, imefika wakati wa kujitafakari.
Wameenea baada ya kumsajili veteran nungunungu?[emoji38]Pole Sana kwa maumivu yatokanayo na hofu,usiogope,yanga hawawezi msajili chama,wameenea pale kati
wakimkosa wanaanza kumpondaHawa jamaa wanachekesha sana wao kila mwaka wanamsajili Triple C mtandaoni...
AahaaaaaMimi kama shabiki kindaki ndani wa Mo 29, nimekubali yaishe, mwaka huu tunapigwa tena. Hasira zangu ntamalizia kwa Ahmed Ally😥
Tangu aingie anatujaza matumaini hewa tu, boss nayeye amechoka na anasema atakata tamaa soon, imefika wakati wa kujitafakari.
We ulishaona simba na yanga wanauziana key players??tena wenye mkataba?Kwanini? Kwani Chama si ni mchezaji wa kulipwa?