Fiterawa ya Dr Rahabu

Fiterawa ya Dr Rahabu

Dr kigwangala hebu tumbua hili jipu
 
Tupatie namba mkuu. Hiyo dawa ya dada Rahabu inayoitwa fiterawa ni wizi mtupu. Watu wanainywa na kuharisha sana lakini hawaoni mabadiliko ya maana. Badala yake yeye mwenye hiyo dawa anaendelea kunawili siku hadi siku kwa fedha za wagongwa. Siku hizi hata 'ttako' limeongezeka.

Ndio yaleyale promo at work unaingia kichwakichwa tena. Kesho urudi unalialia humu, jitahidi kuonana na daktari bingwa wa ugonjwa wako, utapata ushauri mwingi na wakutosha but km upo kwenye research unaweza endelea na huko Mara.
 
Back
Top Bottom