Tupatie namba mkuu. Hiyo dawa ya dada Rahabu inayoitwa fiterawa ni wizi mtupu. Watu wanainywa na kuharisha sana lakini hawaoni mabadiliko ya maana. Badala yake yeye mwenye hiyo dawa anaendelea kunawili siku hadi siku kwa fedha za wagongwa. Siku hizi hata 'ttako' limeongezeka.