Kumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS