Tetesi: Fitina na majungu kwa Mh Rais Magufuli nikama mvuke 2020

Tetesi: Fitina na majungu kwa Mh Rais Magufuli nikama mvuke 2020

Kumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS
Ulikuwa unatetemeka nn wakati wa kuandika??
 
Kumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS
Kumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS
Sasa mnataka kuifungia JF huu upuuzi wako ungeupitishia wapi hivi akili huwa zinawarudi kama homa ya vipindi
 
Chadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.


Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.

Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,

Shame on you
Mawazo mfilisi, nadhani naongea bushman
 
Kumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS
haya pia uliyoandika ni fitina na majungu jumlisha KUJIPENDEKEZA
 
Bora wewe unaejikomba kwa kuandika porojo kuliko wenzako wanaoichongea Jf kwa maboss wao
 
Kumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS
TUNAMPENDA,TUNAMUAMINI,TUNA IMANI NAE KUBWA SANA NA TUTAMCHAGUA TENA 2020 NA AKIMALIZA NGWE YA PILI TUNAMUONGEZEA NYINGINE.
 
Back
Top Bottom