Ulikuwa unatetemeka nn wakati wa kuandika??Kumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS
Sasa ulitaka wawe wanapaa au?
Kumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS
Sasa mnataka kuifungia JF huu upuuzi wako ungeupitishia wapi hivi akili huwa zinawarudi kama homa ya vipindiKumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS
Mawazo mfilisi, nadhani naongea bushmanChadema mawakala wa mafisadi wanapoteza muda wao bure tu.
Magufuli alipoahidi kujenga barabara ya lami kutoka mtwara mpaka bukoba, kama kawaida mafisadi chadema walijitokeza kuponda kwamba hiyo ni ndoto ya mchana.
Lakini leo chadema hao hao wanatumia hiyo lami kwenda kila kona ya nchi kueneza majungu na uzushi wa kishetani,
Shame on you
haya pia uliyoandika ni fitina na majungu jumlisha KUJIPENDEKEZAKumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS
Prof ameficha kitu akisemeView attachment 447677 siku mama ako akikunyang'anya hicho kitecno ndio utaelewa kwa sasa endelea kupost ujinga...
TUNAMPENDA,TUNAMUAMINI,TUNA IMANI NAE KUBWA SANA NA TUTAMCHAGUA TENA 2020 NA AKIMALIZA NGWE YA PILI TUNAMUONGEZEA NYINGINE.Kumezuka kundikubwa la wafitin na wazandiki ktk serikali ya Magu. Kiukweli tunajuwa huu ni mpango ulio sukwa na kundi la watu fulani ambao naweza kuwaita wapiga deal. Kila unapofu gua mtandao jamaa wanamkashifu nakumponda Mh Rais na serikali yake. . Mimi leo nataka kuwaambia fitina zao na majungu yao kwa rais wetu nikama mvuke 2020 kiasi sioni kama kunawanacho kilenga watafanikiwa. MH RAIS MAGUFULI FANYA KAZI HII NI VITA KATI YA GIZA NA NURU MWISHO NURU ITASHINDA. UDUMU MH RAIS