Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Ishu wala haikua drones mkuu. Mkutano na WaRomania ulikua kwa ajiri ya kubaini nani yupo nyuma ya ile Account maarufu kule twitter “ Mr Log”. Alikasirika kwa sababu walitumia pesa nyingi sana lakini matokeo hayakuonekana. Hayo mambo ya drone ilikua kwa ajiri ya magazeti tu
hatuwezi jua specs za drone zilizotaka kununuliwa maana drone zipo za aina tofauti lakini kwa ufahamu wangu mpaka sasa drone hutumika na na vikosi vya zima moto ku identify hot-spots ili waweze kufanikisha kuzimamoto,zaidi huona wana tumia helkopta maaana zaweza kubeba maji mengi kwa kazi hiyo
Ndio alichofanya Bagamoyo port akaleta uongo wa hali ya juu same as aliposema drones za zimamoto ni za kupiga picha 😃😃Dikteta alikuwa hapitishi mkataba wowote ambao hana 20%
Mtu wakumwitu ni wa mwituni tu.Licha ya kuwa na PhD bado aliamini drone ni Camera [emoji23][emoji23]
Huyu aliyeona suluhisho la shirika la zima moto ni drone! Nyumba hata ya vyumba viwili ni changamoto kwa hili shirika. Yeye alikimbilia kutafuta vifaa vya kuzima majengo ya ghorofa 20!Ila Kangi aliiweza sana wizara ya mambo ya ndani, tatizo lake sifa zilimzidi
Alikuwa mla rushwa hatari snNdio alichofanya Bagamoyo port akaleta uongo wa hali ya juu same as aliposema drones za zimamoto ni za kupiga picha 😃😃
Kuzima moto sio kukinga moto.Huyu Kangi Lugoda ni bure kabisa! Tena anaudhi.
Hydrant zimewashinda. Yeye anakimbilia Drone.
Tuna magorofa mangapi ambayo yanaotaji drone? Na kwanini hayo magorofa wasitumie njia nyingine mbadala za kujinga na moto badala ya drone?
Hapo ndipo mtamkumbuka Ben SaananeLicha ya kuwa na PhD bado aliamini drone ni Camera [emoji23][emoji23]
Majanga yote yaliyowahi kutokea hapa Tanzania hayaitaji drone. Mfano shule, nyumba za watu, masoko etc. Na mengi yamekubwa na changamoto za maji. Sasa kwa nini alikimbilia kununua drone za mabilioni badala ya kutumia hizo fedha kuweka hydrants na changamoto nyingine.Drone au ndege isiyo na rubani ikijengwa /ikuundwa kuzima moto kwenye sehemu korofi au majengo marefu ,ina uwezo mzuri na kwa usahihi .
Kutumia drone pia ni kumuepusha zimamoto binadamu na maangamizi.
Hapa Raisi Magufuli alifikilia kuwa Kange Lugola alishavuta mpunga,kitu ambacho hakikuwa sawa.
Nafikiri Magufuli aligundua baadae amedanganywa akampa Ukuu wa Mkoa Anangise.Hiyo yote ni kutokuwa na simile.
Huenda Magufuli akaendelea kutajwa kwa mabaya kizazi hadi kizaziLicha ya kuwa na PhD bado aliamini drone ni Camera [emoji23][emoji23]
Achana na mambo ya kitoto, njoo na hoja zenye nguvu.Source ya hii habari ni ya kizushi.
Mkataba wa bagamoyo uwekwe wazi tujue nani ni mkweli, sio kwa sababu hawezi kujibu ndio kila baya lake!Ndio alichofanya Bagamoyo port akaleta uongo wa hali ya juu same as aliposema drones za zimamoto ni za kupiga picha [emoji2][emoji2]
Watu wanabuy story za kijinga kwa sababu ya chuki tu kwa Mwendazake, kuna rationale gani ya kununua drone wakati distribution ya fire units ina discrepancy kubwa?Huyu Kangi Lugoda ni bure kabisa! Tena anaudhi.
Hydrant zimewashinda. Yeye anakimbilia Drone.
Tuna magorofa mangapi ambayo yanaotaji drone? Na kwanini hayo magorofa wasitumie njia nyingine mbadala za kujinga na moto badala ya drone?
Niliangalia clips za world trade center sikuona drone, mwenye ushahidi wa hizi drone auweke hapa, na sio simulationMajanga yote yaliyowahi kutokea hapa Tanzania hayaitaji drone. Mfano shule, nyumba za watu, masoko etc. Na mengi yamekubwa na changamoto za maji. Sasa kwa nini alikimbilia kununua drone za mabilioni badala ya kutumia hizo fedha kuweka hydrants na changamoto nyingine.
Drone haziokoi watu. Pamoja na kutumia drone bado utaitaji firefighters ili kuokoa watu!!
Majengo marefu wanaweza kuweka sprinkler system na kadhalika.
Europe na America pamoja kuwa na majengo marefu mengi lakini bado hawatumii drone.