Fitina: Nani katika hawa alimdanganya Dkt. Magufuli kuwa Drone za kuzimia moto ni Camera

Fitina: Nani katika hawa alimdanganya Dkt. Magufuli kuwa Drone za kuzimia moto ni Camera

Kuzima moto sio kukinga moto.
Drone au ndege isiyo na rubani ikijengwa /ikuundwa kuzima moto kwenye sehemu korofi au majengo marefu ,ina uwezo mzuri na kwa usahihi .
Kutumia drone pia ni kumuepusha zimamoto binadamu na maangamizi.
Hapa Raisi Magufuli alifikilia kuwa Kange Lugola alishavuta mpunga,kitu ambacho hakikuwa sawa.
Nafikiri Magufuli aligundua baadae amedanganywa akampa Ukuu wa Mkoa Anangise.Hiyo yote ni kutokuwa na simile.
Nawaza endapo angekubali, Leo ingekua ni kelele oooh kaiingiza nchi kwenye hasara, pesa ya kununua drone bora angenunua magari ya zima moto na kujenga barabara.
Watz tunaendeshwa sana na upepo,
 
Huyu Kangi Lugoda ni bure kabisa! Tena anaudhi.
Hydrant zimewashinda. Yeye anakimbilia Drone.
Tuna magorofa mangapi ambayo yanaotaji drone? Na kwanini hayo magorofa wasitumie njia nyingine mbadala za kujinga na moto badala ya drone?
Ameona kila mtu anabonyeza hapo, nae kaamua kutumia loop hole hiyohiyo kujisafisha,
In short tulikua tunapigwa
 
Majanga yote yaliyowahi kutokea hapa Tanzania hayaitaji drone. Mfano shule, nyumba za watu, masoko etc. Na mengi yamekubwa na changamoto za maji. Sasa kwa nini alikimbilia kununua drone za mabilioni badala ya kutumia hizo fedha kuweka hydrants na changamoto nyingine.
Drone haziokoi watu. Pamoja na kutumia drone bado utaitaji firefighters ili kuokoa watu!!
Majengo marefu wanaweza kuweka sprinkler system na kadhalika.
Europe na America pamoja kuwa na majengo marefu mengi lakini bado hawatumii drone.

Moto Kule mlimani Kilimanjaro
 
Licha ya kuwa na PhD bado aliamini drone ni Camera
emoji23.png
emoji23.png
Ni model tu drone inaweza kuwa na kamera.....
Punguza ushamba!
Sadam Hussein Rais wa Kuwait...

Siku ina saa 48....

Am out!
Issue ndogo sana hiyo......
hata raisi wa Peru hajui Tz ilipo labda agoogle...
 
Back
Top Bottom