maghambo619
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,537
- 1,360
Nawaza endapo angekubali, Leo ingekua ni kelele oooh kaiingiza nchi kwenye hasara, pesa ya kununua drone bora angenunua magari ya zima moto na kujenga barabara.Kuzima moto sio kukinga moto.
Drone au ndege isiyo na rubani ikijengwa /ikuundwa kuzima moto kwenye sehemu korofi au majengo marefu ,ina uwezo mzuri na kwa usahihi .
Kutumia drone pia ni kumuepusha zimamoto binadamu na maangamizi.
Hapa Raisi Magufuli alifikilia kuwa Kange Lugola alishavuta mpunga,kitu ambacho hakikuwa sawa.
Nafikiri Magufuli aligundua baadae amedanganywa akampa Ukuu wa Mkoa Anangise.Hiyo yote ni kutokuwa na simile.
Ameona kila mtu anabonyeza hapo, nae kaamua kutumia loop hole hiyohiyo kujisafisha,Huyu Kangi Lugoda ni bure kabisa! Tena anaudhi.
Hydrant zimewashinda. Yeye anakimbilia Drone.
Tuna magorofa mangapi ambayo yanaotaji drone? Na kwanini hayo magorofa wasitumie njia nyingine mbadala za kujinga na moto badala ya drone?
Ndio alichofanya Bagamoyo port akaleta uongo wa hali ya juu same as aliposema drones za zimamoto ni za kupiga picha 😃😃
Majanga yote yaliyowahi kutokea hapa Tanzania hayaitaji drone. Mfano shule, nyumba za watu, masoko etc. Na mengi yamekubwa na changamoto za maji. Sasa kwa nini alikimbilia kununua drone za mabilioni badala ya kutumia hizo fedha kuweka hydrants na changamoto nyingine.
Drone haziokoi watu. Pamoja na kutumia drone bado utaitaji firefighters ili kuokoa watu!!
Majengo marefu wanaweza kuweka sprinkler system na kadhalika.
Europe na America pamoja kuwa na majengo marefu mengi lakini bado hawatumii drone.
Ni model tu drone inaweza kuwa na kamera.....Licha ya kuwa na PhD bado aliamini drone ni Camera [emoji23][emoji23]
Ni model tu drone inaweza kuwa na kamera.....Licha ya kuwa na PhD bado aliamini drone ni Camera
Issue ndogo sana hiyo......Sadam Hussein Rais wa Kuwait...
Siku ina saa 48....
Am out!
Ni model tu drone inaweza kuwa na kamera.....
Punguza ushamba!
Issue ndogo sana hiyo......
hata raisi wa Peru hajui Tz ilipo labda agoogle...
Mwambie Samia akanunue, Kwani mlitaka Magufuri afanye kila kitu? Mwambie huyu asiye fisadi akanunue,ela si hipo?Dikteta alikuwa hapitishi mkataba wowote ambao hana 20%