Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Najua Cain,DC wote wanaishi na kutrain A.K.A ipo California...iyo sio case tatizo unagugo sana ndo mana unajichanganya...Cain haishi Mexico city. Anaishi California.
Kwamba alipigwa hilo halina ubishi. Au nimebisha? Kama nimebisha nionyeshe nilipobisha.
Ndo maana nimesema nina hamu sana ya kuona outcome ya rematch ambayo itafanyika Vegas...kwenye altitude.
Kusoma na kuelewa nao ni ujuzi...ambao umeshaonyesha huna!
Kumbe ndo tabia zake ngoja nimpotezee..afu anajifanya heavyweight...uyu atakua lightweight mana ndo wanaongeaga sanaHuyo utabishana nae mpaka kesho... Akiona unamshinda ataanza kuandika vocabulary nyiiiiiiiiingi na kuanza kutukana..
We acha ubishi wa kijinga...
inajulikana mexico city ni high altitude afu fighters wengi wanapenda kutrain kwenye high altitudes ndo mana cain aliwahi mexco city
In the post-fight press conference, the Mexican-American former champion admitted that coming to Mexico City, with its elevation of 7,382, just two weeks out from the fight might have been a bad idea.
"Maybe that wasn't enough," Velasquez said. "Again, no excuses. Fabricio was the better guy tonight. He fought with great technique. Very relaxed."
Werdum (20-5-1) had spent more than a month in Mexico at altitude, which is also what he did before beating Mark Hunt in the UFC 180 main event last November. In that fight, Werdum was supposed to challenge Velasquez, but Velasquez withdrew three weeks before the potential bout due to a knee injury. The UFC put the interim heavyweight title up for grabs and Werdum earned it with a second-round knockout of Hunt.
.....angalia fighters wa JACKSONWINK MMA wakina Bones wanavopenda kutrain juu ya milima....Alberque,* New Mexico.
Unaongea nn jombaa
Mkuu wangu, hio ni APP gani umetumia kwenye hio pic.Njoo, perfect combo baada ya mazoezi ni kujienjoy.
Kumbe we humjui.. Huyo ubishi ndio jadi yake.. Alafu sio kwamba anajua yeye zake ni gugo tu.. Hapo unaweza kuta hata kurusha ngumi hawezi ni kelele tu nyingi..Kumbe ndo tabia zake ngoja nimpotezee..afu anajifanya heavyweight...uyu atakua lightweight mana ndo wanaongeaga sana
Najua Cain,DC wote wanaishi na kutrain A.K.A ipo California...iyo sio case tatizo unagugo sana ndo mana unajichanganya...
Mi napenda fighting toka kwenye damu ndo mana sihitaji gugo nafatilia nakumbuka naelewa
Kaathiriwa na altitude wakati alikua hometown mexico city 3 weeks prior yo the fight ana train...ivi unachekigi zile countdown to ufc???
Alikosea kugugo hahahahahaSasa nimekuambia hiviii best fighters kwenye light heavyweight na heavyweight...unaniambia huyo mighty mouse...unaona uelewa wako ulivo mdogo??
Two weeks ni very enough...no silly excuzes....kwani Anderson Silva alifight na DC kwa notice ya siku ngapi? Mbona hakulia lia?? Kua muda sijui nnCha ujinga nilichobisha kiko wapi?
Unasema Cain aliwahi kwenda Mexico city? Una uhakika?
Unajua Werdum alikuwepo huko kwa muda gani kabla Cain hajaenda?
Au unataka kunambia Cain ndo aliweka kambi kwa muda mrefu kumzidi Fabricio?
Siongei kwa kubahatisha. Soma hapo chini. Nani alitangulia na kukaa muda mrefu kuliko mwenzake?
Chanzo
Kati ya Cain na Fabricio nani alipiga kambi ya muda mrefu Mexico city?
Naulipati ng'o...tupinge!dah natamani tumbo kama la huyo dada.
Again, you can't process nuance let alone comprehend what you read!Two weeks ni very enough...no silly excuzes....kwani Anderson Silva alifight na DC kwa notice ya siku ngapi? Mbona hakulia lia?? Kua muda sijui nn
Cain ni Mexican-American hivo alivoenda kupigana mexico city ilichukuliwa kama homecoming!Umesema Mexico city ni hometown ya Cain: umekosea.
Umesema Cain alipiga kambi huko kwa wiki tatu: umekosea.
Ona ulichoandika
Halafu unadai eti unafuatilia, unakumbuka, na unaelewa.
Unaelewa kitu gani kama hata facts ndogo ndogo zinakushinda?
Unachekesha wewe.
Unazingua. Umeshindwa kujibu swali dogo la uelewa wako ..inaonekana hujui hata kuna weight classes wewe.Again, you can't process nuance let alone comprehend what you read!
You are a waste of my time.
Deuces.
Nina kg 57 urefu 159...sio mnene mwembamba wastani ila nna tatizo mwili wangu umetepepeta kimtindo yaan nyama zinanicheza cheza nifanyaje mazoez gan mwili ukaze? angalizo.. sitaki mwili wangu upungue
cc Nyani Ngabu nipeni ushaurii wataalam.
Diet itasaidia kama goal lako ni kupungua tu kilo5 sio nyingi ila nashauri ufanye mazoezi pia ili ufikie goal lako haraka na uweze kumaintain. Jitahidi kupush thru the pain bdae maumivu yataisha na utazoea.Nina kilo 70 nimeanza diet, target nifike 65 ila dooh mazoez nashindwa kabisa nilifanya mara moja cku ya pili nikaamka mgonjwa kabisa. Huu uzi utakua msaada kwangu sana kwa kipindi hiki.
Nimekupata mkuu, ntaleta feedback aftr one month.Diet itasaidia kama goal lako ni kupungua tu kilo5 sio nyingi ila nashauri ufanye mazoezi pia ili ufikie goal lako haraka na uweze kumaintain. Jitahidi kupush thru the pain bdae maumivu yataisha na utazoea.
Mkuu tumeongea kuhusu hilo kwa upana kwenye huu uzi ila kwa ufupi inabidi ufanye weightlifting na ule real food ili kujenga mwili. Bench/leg/shoulders press, squats, push ups, biceps curls nk. Vyakula kama wali, kuku, samaki, nyama, mayai na veggies hujenga mwiliWakuu nataka kidogo niutengeneze mwili wangu uwe mkubwa na uliojengeka kimisuli, Nataka kufahamu vitu vya kimsingi ili nifanikishe hili...
Nike Training AppMkuu wangu, hio ni APP gani umetumia kwenye hio pic.
Wakuu, salaam.
Hivi ni kweli wanawake wakimaintain figure, kuna baadhi ya viungo vya mwili huwa vinagoma kupungua ukubwa na matokea yake huongezeka zaidi ya mara mbili?
hapana hizi zinanitosha mkuu..najisikia vizur nikiwa hivi...thanks anyway!Kilo 57 duh lightweight eti, ongeza ongeza zifike ata 67....
okey asante.Nashauri ufanye resistance training kama goal lako ni hilo. Mazoezi kama squats, planks, push ups, wall sit, lunges, pull ups na cardio. Zingatia diet na kunywa maji yakutosha.