Mo Issa
Member
- Jul 28, 2020
- 43
- 93
Leo tujifunze kuhusu Fiver na Upwork.
Hello Habari wana JF
Ni imani yangu kuwa wote wazima na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa, na wale wenye changamoto mbalimbali zinazowakabili aidha kiafya, na hata kiuchumi namuomba Mungu wetu awafanyie wepes waweze ondokana na changamoto hizo.
Utangulizi
Kuna hiki kitu imani yangu watu wengi mmekuwa mkisikia au kujihusisha navyo (freelancing). Leo hii teknolojia imetufikisha mbali sana kiasi cha kwamba leo unaweza uza ujuzi ulionao katika majukwaa mbali mbali na kujipatia pesa itakayokidhi mahitaji yako. Nakupa mfano wewe ni mtaalamu wa lugha ya kiswahili na kingereza basi unaweza tumia ujuzi huo kujingizia pesa kwa kutumia majukwaa kadhaa ambayo leo tutaelezea mawili. Kwenye majukwaa hayo utaweza enda kufanya translation yaan kazi za kutafsiri lugha ya kingereza kuleta kwenye kiswahili na kiswahili kwenye kingereza. Mfano huo niliyokupa basi taaluma pia uliyonayo unaweza itumia kupata kazi za taaluma yako huko na ukaingiza pesa.
Hivyo basi kuna majukwaa kadhaa ambayo yapo yatakayokukutanisha wewe muuza ujuzi(freelancer) na wateja(clients) wenye kuhitaji hiyo taaluma yako... haya twende haraka kwenye hayo majukwaa...
Tuanze sasa>>>
World population ipo estimated kuwa 8 Billions according to ILO 2020 kuna 188M hawajui wapi wapate kazi, 120M wamekata tamaa kutafuta kazi na 165M wanafanya kazi wasio pendezwa nayo..almost Half Billion wapo frustrated na issue ya kazi (Source ilo.org/global/research..)
Akitokea mtu wakusolve unemployment rate atakua na value .
Leo tuone kampuni mbili Fiverr na Upwork, utakua umewahi kusikia au pia unajitengenezea kipato kupitia Fiverr.
Fiverr ni soko la kuuzia ujuzi (skills) ambapo inakutanisha kati ya wanye ujuzi (Freelancer) na clients.
Ikiwa una skill flani, either Logo design, Web design, writer, photographer au skill yoyote unaweza kuuza na ukalipwa kuanzia $5 na kuendelea
So, Fiverr inarahisisha skills outsourcing, maana yake wewe upo Tz ila mtu wa Canada au US anakuajiri kumfanyia kazi flani na anakulipa,
Currently tupo kwenye digital world na hii itakua favorable kwa makampuni kama Fiverr kuvutia content creators kuuza skills zao, lakini pia wanasuluhisha unemployment kwa wenye skills lakini hawana ajira.
Fiverr inawarahisishia Business owners kupata wafanya kazi na kwa njia rahisi, mfano HR ataweza kuangalia hivi vitu
Fiverr kama kampuni wanapataje faida?
Faida wanapata kupitia Transactions na Fees kupitia services zao.
Wanakusanya almost 27% fee kwa kila transaction kuzidi competitor wake Upwork.
Covid-19 imewasaida sana kupata customers kutoka 2.5M hadi 3.8M kwa mwaka 2021.
Biashara yoyote lazima kuna ushindani, Kwenye stock market kabla ya kufanya investment kwenye kampuni flani lazima uangalie strength yake over competitor.
Competitor mkubwa wa Fiverr ni Upwork.
Upwork imetangulia kuanza kabla ya Fiverr lakini Upwork wapo focused na projects za makampuni makubwa, Fiverr mwenyewe anafocus na small business owners (Hii sio competitive advantage).
Upwork alikua first Runner, Fiverr alifatia akawa innovative kumzidi Upwork (CA), wanafaidika sana na business framework kupitia website yao. (fiverr.com/s2/29cbc4544a)
Namba ya customer ni kubwa kupita Upwork, so Fiverr wataendelea kuwavutia Business owners kwa siku nyingi zaidi.
Fiverr current price ipo around $205, market valuation ikiwa $7.3B. Highest price imefika $330
Good thing about Fiverr utaweza kunufaika kama owner wa kampuni kwa kununua hisa zake lakini pia unaweza kua Freelancer kwa kutengeneza contents na ukalipwa daily $5 above.
Baada ya miaka 10 naona Fiverr valuation yake itakua kubwa zaidi ya sasa hivi kwa sababu ya technology.
Lengo langu nikubadilisha wimbi la vijana kama mimi kwamba dunia inabadilika unaweza ingiza pesa kwa unachokielewa.
Nisamehe popote nilipoteleza
Ahsante kwa kusoma.
Hello Habari wana JF
Ni imani yangu kuwa wote wazima na mnaendelea na majukumu ya kujenga taifa, na wale wenye changamoto mbalimbali zinazowakabili aidha kiafya, na hata kiuchumi namuomba Mungu wetu awafanyie wepes waweze ondokana na changamoto hizo.
Utangulizi
Kuna hiki kitu imani yangu watu wengi mmekuwa mkisikia au kujihusisha navyo (freelancing). Leo hii teknolojia imetufikisha mbali sana kiasi cha kwamba leo unaweza uza ujuzi ulionao katika majukwaa mbali mbali na kujipatia pesa itakayokidhi mahitaji yako. Nakupa mfano wewe ni mtaalamu wa lugha ya kiswahili na kingereza basi unaweza tumia ujuzi huo kujingizia pesa kwa kutumia majukwaa kadhaa ambayo leo tutaelezea mawili. Kwenye majukwaa hayo utaweza enda kufanya translation yaan kazi za kutafsiri lugha ya kingereza kuleta kwenye kiswahili na kiswahili kwenye kingereza. Mfano huo niliyokupa basi taaluma pia uliyonayo unaweza itumia kupata kazi za taaluma yako huko na ukaingiza pesa.
Hivyo basi kuna majukwaa kadhaa ambayo yapo yatakayokukutanisha wewe muuza ujuzi(freelancer) na wateja(clients) wenye kuhitaji hiyo taaluma yako... haya twende haraka kwenye hayo majukwaa...
Tuanze sasa>>>
World population ipo estimated kuwa 8 Billions according to ILO 2020 kuna 188M hawajui wapi wapate kazi, 120M wamekata tamaa kutafuta kazi na 165M wanafanya kazi wasio pendezwa nayo..almost Half Billion wapo frustrated na issue ya kazi (Source ilo.org/global/research..)
Akitokea mtu wakusolve unemployment rate atakua na value .
Leo tuone kampuni mbili Fiverr na Upwork, utakua umewahi kusikia au pia unajitengenezea kipato kupitia Fiverr.
Fiverr ni soko la kuuzia ujuzi (skills) ambapo inakutanisha kati ya wanye ujuzi (Freelancer) na clients.
Ikiwa una skill flani, either Logo design, Web design, writer, photographer au skill yoyote unaweza kuuza na ukalipwa kuanzia $5 na kuendelea
So, Fiverr inarahisisha skills outsourcing, maana yake wewe upo Tz ila mtu wa Canada au US anakuajiri kumfanyia kazi flani na anakulipa,
Currently tupo kwenye digital world na hii itakua favorable kwa makampuni kama Fiverr kuvutia content creators kuuza skills zao, lakini pia wanasuluhisha unemployment kwa wenye skills lakini hawana ajira.
Fiverr inawarahisishia Business owners kupata wafanya kazi na kwa njia rahisi, mfano HR ataweza kuangalia hivi vitu
- Reviews za creator flani,
- Pia ataweza negotiate price,
- Ataweza compare content creators maana wapo wengi,
- Ataweza connect na creator kwa haraka zaidi.
Fiverr kama kampuni wanapataje faida?
Faida wanapata kupitia Transactions na Fees kupitia services zao.
Wanakusanya almost 27% fee kwa kila transaction kuzidi competitor wake Upwork.
Covid-19 imewasaida sana kupata customers kutoka 2.5M hadi 3.8M kwa mwaka 2021.
Biashara yoyote lazima kuna ushindani, Kwenye stock market kabla ya kufanya investment kwenye kampuni flani lazima uangalie strength yake over competitor.
Competitor mkubwa wa Fiverr ni Upwork.
Upwork imetangulia kuanza kabla ya Fiverr lakini Upwork wapo focused na projects za makampuni makubwa, Fiverr mwenyewe anafocus na small business owners (Hii sio competitive advantage).
Upwork alikua first Runner, Fiverr alifatia akawa innovative kumzidi Upwork (CA), wanafaidika sana na business framework kupitia website yao. (fiverr.com/s2/29cbc4544a)
Namba ya customer ni kubwa kupita Upwork, so Fiverr wataendelea kuwavutia Business owners kwa siku nyingi zaidi.
Fiverr current price ipo around $205, market valuation ikiwa $7.3B. Highest price imefika $330
Good thing about Fiverr utaweza kunufaika kama owner wa kampuni kwa kununua hisa zake lakini pia unaweza kua Freelancer kwa kutengeneza contents na ukalipwa daily $5 above.
Baada ya miaka 10 naona Fiverr valuation yake itakua kubwa zaidi ya sasa hivi kwa sababu ya technology.
Lengo langu nikubadilisha wimbi la vijana kama mimi kwamba dunia inabadilika unaweza ingiza pesa kwa unachokielewa.
Nisamehe popote nilipoteleza
Ahsante kwa kusoma.