Hahahaha. Kwamba maiti zitaokotwa barabarani.Corona itamaliza waAfrica wote
Nilidanganywa kijiji changu kitapewa milioni 50 mpaka sasa umeyeyuka .Merry Christmas and happy new year
Katika maisha kama binadamu tunapitia mengi na changamoto nyingi sana kwangu mimi nimewai pigwa fixi na bint niliyekuwa na mahusiano nae kuwa amebeba ujauzito wangu nilipagawa sana maana nilikuwa sijajipanga ila mwisho wa siku alikuwa ananidanganya aikuwa kweli