Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

Fixed account za benki na utajiri wa haraka haraka

thanks,unanishaurije mkuu,maana nataka boom la laki tano,nusu niwe nasave,kidogo ili nilibahatika kumaliza chuo niwe na ka one million mkuu.
Kuna TWO TYPES WAYS...

1. Fungua SAVING ACCOUNT, then unadunduliza hata ukipata JERO...

2. Kila hela kubwa unayopokea unafungulia INVESTMENT ACCOUNT yake ambayo at the end utapewa THE PRINCIPAL na ACCRUED RETURN.
Hapa sasa unatakiwa kujua hiyo shule yako inaisha lini (hizo hela utazitaka lini)
Then that will be your CONTRACT TIME.
 
BANK ina ACCOUNTS aina KUU tatu....
a. SAVING ACCOUNTS
b. INVESTMENT ACCOUNTS
c. PERSONAL (DAILY USAGE) ACCOUNTS

1. Ukiwa unataka kuwa unaweka pesa Mara kwa mara, fungua SAVING ACCOUNT .. Mfano; NMB huitwa BONUS ACCOUNT.
Accrued cash hupata return/interest QUARTERLY.

2. Ukiwa unataka kufungua INVESTMENT ACCOUNT (kama hiyo Fixed Account) ambayo itakua inarudisha return yako kwenye PERSONAL ACCOUNT Fungua INVESTMENT ACCOUNT yenye SIFA HIZO, Mfano; NMB huitwa FLEXI ACCOUNT.

3. Kulingana na hiyo No. 02 then INVESTMENT ACCOUNTS zipo za aina Mbili..
i. Zenye kurudisha RETURN kila mwezi huku PRINCIPAL ikiendelea kuzalisha RETURN kulingana na INTEREST na TIME FOR CONTRACT.
ii. Zile ambazo unapewa RETURN na PRINCIPAL contract iki MATURE...

#ASANTE

#YNWA
Asante sana kwa darasa. Kama uko kwenye sekta ya bank au una uelewa naomba kujua yafuatayo:
1. Je kwenye bank kama hii ya NMB nikiweka sh milioni 500 na mkataba wangu uwe ni kuwachukua return kila mwezi, naweza kulipwa return ya sh ngapi kila mwezi?
2. Hizo hizo sh milioni 500 niziweke kwa kipindi cha mwaka nitalipwa return ya sh ngapi baada ya mwaka?
 
thanks,unanishaurije mkuu,maana nataka boom la laki tano,nusu niwe nasave,kidogo ili nilibahatika kumaliza chuo niwe na ka one million mkuu.
Nenda NMB mkuu at least wana riba kubwa kidogo 9.5%. Benki nyingine ribs zao zipo chini sana. Ila usitegemee kuwa milionea kwa kufungua fixed account, riba ni kiduchu sana. Fanya biashara usiogope!
 
KWELI NA KILA MWEZI UTAKUWA UNAPOKEA GAWIO LAKO A.K.A FAIDA YAKO KUTOKA KWENYE FIXED AKAUNTI.
Not true, utapokea gawio pindi muda ukifika, fixed deposit utaona faida yake ukiweza fix 100m or so coz faida yake kimsingi ni less than 10%
 
Not true, utapokea gawio pindi muda ukifika, fixed deposit utaona faida yake ukiweza fix 100m or so coz faida yake kimsingi ni less than 10%
......... (From above).....

2. Ukiwa unataka kufungua INVESTMENT ACCOUNT (kama hiyo Fixed Account) ambayo itakua inarudisha return yako kwenye PERSONAL ACCOUNT Fungua INVESTMENT ACCOUNT yenye SIFA HIZO, Mfano; NMB huitwa FLEXI ACCOUNT.

3. Kulingana na hiyo No. 02 then INVESTMENT ACCOUNTS zipo za aina Mbili..
i. Zenye kurudisha RETURN kila mwezi huku PRINCIPAL ikiendelea kuzalisha RETURN kulingana na INTEREST na TIME FOR CONTRACT.
ii. Zile ambazo unapewa RETURN na PRINCIPAL contract iki MATURE...

#ASANTE
 
Acha ujinga, kuficha bank hela ni umama, ukipata boom njoo tukushauri namna ya kuzitumbua! Ukifa na boda boda hela yako itapotea!
Kuweka pesa ni BANK Kwenye FIXED Account ni moja ya INVESTMENT DECISION for the FUTURE CONSUMPTION.
 
Asante sana kwa darasa. Kama uko kwenye sekta ya bank au una uelewa naomba kujua yafuatayo:
1. Je kwenye bank kama hii ya NMB nikiweka sh milioni 500 na mkataba wangu uwe ni kuwachukua return kila mwezi, naweza kulipwa return ya sh ngapi kila mwezi?
2. Hizo hizo sh milioni 500 niziweke kwa kipindi cha mwaka nitalipwa return ya sh ngapi baada ya mwaka?
interest rate inayo YIELD RETURN hutofautiana/hutegemea na....
1. Time for contract
2. Amount of principal
3. Interest value offered by bank

Ila pia interest of the bank hutegemea na ECONOMIC CONDITION of the COUNTRY during the PERIOD OF SETTING THE INTEREST RATE.

Nakushauri TEMBELEA MILANGO YA BANK waombe ile CHART OF INTEREST OFFERING.. Then pigs hesabu na usisahau hizi HESABU.....
1. FUTURE VALUE CALCULATION
FV = PV(1+r)^n

2. INTEREST
I = PRT/100
 
M
interest rate inayo YIELD RETURN hutofautiana/hutegemea na....
1. Time for contract
2. Amount of principal
3. Interest value offered by bank

Ila pia interest of the bank hutegemea na ECONOMIC CONDITION of the COUNTRY during the PERIOD OF SETTING THE INTEREST RATE.

Nakushauri TEMBELEA MILANGO YA BANK waombe ile CHART OF INTEREST OFFERING.. Then pigs hesabu na usisahau hizi HESABU.....
1. FUTURE VALUE CALCULATION
FV = PV(1+r)^n

2. INTEREST
I = PRT/100
Mkuu naona upo vizuri financial management mahesabu yake ninoma na ni watu wachache wanajua ivi vitu mambo ya time value of money
 
thanks,unanishaurije mkuu,maana nataka boom la laki tano,nusu niwe nasave,kidogo ili nilibahatika kumaliza chuo niwe na ka one million mkuu.
Umeshapata hilo boom au unawakika utapata??
Vipi huna majukumu mpaka uweke hela yako fixed??
Kama unaona hela ni nyingi tafuta kitu cha kufanya kwa hela hilo kitakusaidia acha mambo ya kuweka bank hela ndoto ivo utakufa njaa.
 
Usitegemee unaweza kuvuna faida yoyote ya maana au kutajirika kwa kuweka fedha zako za kudunduliza (mfano boom) kwenye fixed account, utapoteza muda wako. Hiyo kitu kwenye mabenki mengi iko complex. Faida wanayokutamanisha ni ndogo sana na imezungukwa na vitu vingine vingi ambavyo vitaifuna hiyo faida. Kuna usanii mwingi sana wa kimahesabu katika hilo. Hizo mambo waachie madoni.

Ushauri wangu, ni bora ukajiunga na kuweka pesa zako kwenye SACCOS yoyote iliyo imara na iliyopo karibu yako tu, kwa sababu zifuatazo.

-Huduma za SACCOS ziko rafiki sana(Unaweza kuweka, kutoa au kukopa kirahisi mnoo).

-Wakati wowote unaweza kutumia pesa ulizoweka kwenye SACCOS kama dhamani ya kuombea mkopo.
 
......... (From above).....

2. Ukiwa unataka kufungua INVESTMENT ACCOUNT (kama hiyo Fixed Account) ambayo itakua inarudisha return yako kwenye PERSONAL ACCOUNT Fungua INVESTMENT ACCOUNT yenye SIFA HIZO, Mfano; NMB huitwa FLEXI ACCOUNT.

3. Kulingana na hiyo No. 02 then INVESTMENT ACCOUNTS zipo za aina Mbili..
i. Zenye kurudisha RETURN kila mwezi huku PRINCIPAL ikiendelea kuzalisha RETURN kulingana na INTEREST na TIME FOR CONTRACT.
ii. Zile ambazo unapewa RETURN na PRINCIPAL contract iki MATURE...

#ASANTE
Ahsante mkuu, kuna watu wanabisha tu ilimradi na wao waonekane wanajua!
 
Kama ni saving tu na huna nidhamu ya pesa kafungue akaunti bank ya mbali kidogo ambayo haina ATM wala matawi mengi, hutajuta.
Mfano kama upo udsm kafungue bank za mbali kama NAVARA BANK, Bank of Baroda, PBZ, Internationational Commercial Bank nk.
Wakikupa kadi, ikate vipande viwili tupa kule, namba ya simu uliyosajilia tupa kule.
 
Katika benki za biashara kuna aina tatu za akaunti, kwa kiingereza zikifahamika kama ‘Savings account’, ‘Current accounts’ na ‘Fixed accounts’

Ukiachana na majina ambayo benki itaamua kuipa akaunti husika lakini huangukia katika aina hizo za akaunti. Namba moja ni akauti ya kuhifadhi pesa ambayo mara nyingi huwa na gharama za uendeshaji na hela yake hupungua kadiri inavyozidi kukaa benki

‘Current accounts’ hii ina sifa kuu ya mtu kuweza kutoa kiwango zaidi ya alichonacho katika benki husika. Mara nyingi huwa wanaziita akaunti za biashara na mwenye akaunti katika aina hii huwa na kitabu cha hawala/hundi

‘Fixed account’ hii ni aina ya akaunti ambayo inalipa mara baada ya muda wake mliokubaliana kuisha. Hii tu huweka pesa benki kwa muda fulani benki nyingi huanzia miezi mitatu, na mtu hatoruhusiwa kutoa hela kwenye akaunti yake hadi muda waliokubaliana kufika

Aina hii ya akaunti hutoa riba kwa aliyeweka hela na haina nyingi hazina makato ya uendeshaji. Aina hii ya akaunti ni moja kati ya uwekezaji mzuri kwa mtu asiyeweza kashkashi za biasahara au akiwa amepata hela ya ghafla na hajui afanyie nini

Ni sawa kuweka hela benki lakini ukiweka kwa ‘savings account’ ni sawa na kuweka mfukoni na muda wowote unaweza kuitoa, lakini ‘fixed account’ mtu hawezi kutoa hela hadi muda utimie

Ukiachilia mbali kuwa na gawio baada ya muda, akaunti hizi pia hutumika kama dhamana ya mikopo kwa taasisi mbalimbali

Signed

Oedipus
 
Back
Top Bottom