Wanajamvi nategemea wazima!
Nina mdogo wangu kapata mil.15, kwa vile ni msichana mdogo ameniomba ushauri wa biashara ya kufanya, kwa kweli nimemshauri afix pesa yake kwa muda wa miezi sita wakati akitafakari la kufanya!
MSAADA. je ni bank gani anaweza kufix kwa mda huo akapata faida nzuri? kama asilimia ngapi bank hiyo yupo mostly likely kupata?
As always salute!
Nina mdogo wangu kapata mil.15, kwa vile ni msichana mdogo ameniomba ushauri wa biashara ya kufanya, kwa kweli nimemshauri afix pesa yake kwa muda wa miezi sita wakati akitafakari la kufanya!
MSAADA. je ni bank gani anaweza kufix kwa mda huo akapata faida nzuri? kama asilimia ngapi bank hiyo yupo mostly likely kupata?
As always salute!