kwa mwezi ni 1% ya million 40 amabyao ni sawa na 12% ya million 40Wekeza liquid fund ya Utt ndio yenye malipo mazuri kwa Sasa au dhamana za serikali
Nenda Access Microfinance Bank wanatoa mpaka 14% kwa mwaka. Hiyo 40m unaweza tengeneza mpaka 5.6m kabla ya kodi.Habari wakuu
Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida
Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!
Mh sio kweli, hiyo 240k ni hela ya wewe kupokea kwa mwezi, kuna namna kwenye taarifa zimekufika taarifa zisizo sahihiHabari wakuu
Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida
Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!
Mkuu hukipata majibu niambie na mie. Maana mie nimeambiwa bila salary slip nisahau kupata mkopo sasa naishia kuteseka wakati viwanja na nyumba za urithi zipo bwanaMimi nina mjengo nataka kuuchukulia mkopo.panaponishinda ni pale wanaponitaka niwe na duka na account ya miezi sita
Hapo nina account so sina duka je hakuna bank inayoweza nipa mkopo lwa kutumia dhamana ya nyumba?
TAFADHARI NWENYE MICHONGO HII TUKUTANE IN BOX TAFADHARI
Shkda u aizungusha wapi.Yaani unawaongezea benki mtaji ili wazungushe mwaka mzima then wakupe kasehemu kaduchu sana cha faida yao
Kwanini wewe usizungushe hiyo hela kama mtaji wako upate faida, kwa mwaka huoni utakuwa umeingiza zaidi ya M10?
UPDATEHabari wakuu
Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida
Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!
Nenda Access Microfinace Bank wanatoa 14% kwa mwaka. Unaruhusiwa kuchukua faida mwanzo wa mkataba. Hiyo 40m hukosi 5.6m kabla ya kodi.UPDATE
HABARI WAKUU NAPENDA KUFUNGA HUU MJADALA NILIOULETA HAPA JUKWAANI BAADA YA KWENDA KWENYE TAWI JENGINE LA BANK YA NMB NAKUONANA MANAGE CST CARE NIKAMUOMBA ANIFANYIE HESABU YA MILION 40 KWA MIEZI 12 KANIPA 2,160,000 BAADA YA TAX YA 240,000
Baada ya mwaka mmoja anaanza kutengeneza compound interestkwa mwezi ni 1% ya million 40 amabyao ni sawa na 12% ya million 40
[emoji2][emoji2][emoji2]powa mkuuMkuu hukipata majibu niambie na mie. Maana mie nimeambiwa bila salary slip nisahau kupata mkopo sasa naishia kuteseka wakati viwanja na nyumba za urithi zipo bwana
Mkuu labda hukuelewana na mtoa huduma, ulienda lini wewe? Mimi nimefungua wiki iliyopita kwa kiasi hicho cha 40M riba sio hiyo uliyotaja hapo.Habari wakuu
Leo nimeenda bank branch ya NMB nikawaomba wanifanyie hesabu ya milioni 40 kwa muda wa mwaka, wanadai hadi mwisho wa mwaka napata laki 240,000 kama faida
Sasa just imagine unawapa milioni 40 ndani ya kipindi cha mwaka mzima usubirie 240k si wizi huu!
kianzio cha kuweka kinaanzia shilingi ngapiNenda Access Microfinace Bank wanatoa 14% kwa mwaka. Unaruhusiwa kuchukua faida mwanzo wa mkataba. Hiyo 40m hukosi 5.6m kabla ya kodi.
5mkianzio cha kuweka kinaanzia shilingi ngapi
In magu voiceMajizi Yapo Ndugu Zangu Hata Ndani Ya Ccm
Nasema Uongo Ndugu Zangu!!