FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

mmmmmnh mbona kila mmoja wenu anamlizia na..samahani kama nimekukwaza???? mnakwazana kwanini???? hope sijamkwaza yeyote LOL

Shihi ukienda Rome.....

hapa wewe dance to the rythm tuuu basi.....

sijakwazika bado
 
EW,soma kwenye red AM SORRY KAMA NIMEKUKWAZA
 

Una kuherehere kama upele bht, FL1 mwenyewe yupo, atamjibu.

Samahani kama nimekukwaza!
 
 
Masaki pls nielewe mimi ni Mwanamke namsubiri FL1 anipe majibu usiwe na jazba darling ni simple tu anijibu sijamuhukumu kifo

samahani saaaaaaaaaaaaaaaaaana hapo umenikwaza weewe dada!!!
 
 
Aulizaye anataka kujua ..FL1 naomba nijibu dadaangu ..i hope hujachukia !!..
hata mzee wako anaweza kujibu kwa niaba kama vidole vimeshindwa kutype..
watu /people mbona hamunielewi .. mie ni mwanamke kama kina Bht ,MJ1,Pearl ,Nyamayao ,na wengineo wote
 
Jamanieeeeeeeeeeeeeeeeee! Mbona mnanikwaza na hizi ofutopiki zenu?mko nje ya mada kabisa.
samahanini kama nitakuwa nimewakwaza!
 
Masaki pls nielewe mimi ni Mwanamke namsubiri FL1 anipe majibu usiwe na jazba darling ni simple tu anijibu sijamuhukumu kifo

Umeongea (umeandika) kwa huruma sana! Basi ngoja tusubiri FL1 akujibu, au la basi atakutumia PM!

Najua kwamba hujamhukumu kifo! Samahani kama nimekukwaza!
 

Kwa niaba ya members wote, naomba huyu dada aachwe atimize haja ya moyo wake, FL1kama wanisikia, mtimizie!
Nimeuona moyo wake, hana matatizo kama wengi tulivyodhani!
 
Aliyeulizwa ni FL1, sasa wengine kinyege nyege cha kuchangia mada hii kinatoka wapi? sorry kama nitawakwaza.
 

Samahani kama FL1 kakukwaza
 
samahani saaaaaaaaaaaaaaaaaana hapo umenikwaza weewe dada!!!

Amekukwaza nini na wewe?
Samahani kama nimekukwaza!

darling!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kwani yeye ni darling wa masaki biggy??

pole bht !!
ila namhitaji FL1 tuwe na amani


Dah! Ukiwa kwenye nyumba ya vioo usianzishe vita ya mawe! Egyps-women angalau umeomba msamaha kwa binamu yangu! Maana ulishamkwaza!
 
Jamanieeeeeeeeeeeeeeeeee! Mbona mnanikwaza na hizi ofutopiki zenu?mko nje ya mada kabisa.
samahanini kama nitakuwa nimewakwaza!

jamani Charity mbona hatujatoka nje

sorry kama tumekukwaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…