Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta ulikuwa unatafuta nn?
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)lazima akujibu?
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda
ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?hata kama hajaolewa inahuuuuuu,asipomaanisha unatakani
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....
Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?hata kama hampendi ndo kesha olewa nae till death do zem pat
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)hana wivu anamoyo wa chuma
I love you FL1,she loves me n my Twin npot u
**********