FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

mmmmmnh mbona kila mmoja wenu anamlizia na..samahani kama nimekukwaza???? mnakwazana kwanini???? hope sijamkwaza yeyote LOL

Shihi ukienda Rome.....

hapa wewe dance to the rythm tuuu basi.....

sijakwazika bado
 
EW,soma kwenye red
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta ulikuwa unatafuta nn?
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)lazima akujibu?
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda …ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?hata kama hajaolewa inahuuuuuu,asipomaanisha unatakani
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....

Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?hata kama hampendi ndo kesha olewa nae till death do zem pat
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)hana wivu anamoyo wa chuma

I love you FL1,she loves me n my Twin npot u
**********
AM SORRY KAMA NIMEKUKWAZA
 
yeomiiiii!!!! you are so determined huh!!!

hakuna mwenye kosa kati yako na yeye ila wewe unaelekea kweny ekutenda kosa kama utang'ang'ana wakati yeye hataki...utakuwa nuisance kwa mama wa rais atakushtaki shauri yako!!!
ni angalizo tu.....plz usikwazike!!

Una kuherehere kama upele bht, FL1 mwenyewe yupo, atamjibu.

Samahani kama nimekukwaza!
 
yeomiiiii!!!! you are so determined huh!!!

hakuna mwenye kosa kati yako na yeye ila wewe unaelekea kweny ekutenda kosa kama utang'ang'ana wakati yeye hataki...utakuwa nuisance kwa mama wa rais atakushtaki shauri yako!!!
ni angalizo tu.....plz usikwazike!! [QUOTE]

Mbona unaharibu uhondo wa kibwagizo chetu tena?

Samahani kama nitakuwa nimekukwaza! 🙂
 
Masaki pls nielewe mimi ni Mwanamke namsubiri FL1 anipe majibu usiwe na jazba darling ni simple tu anijibu sijamuhukumu kifo

samahani saaaaaaaaaaaaaaaaaana hapo umenikwaza weewe dada!!!
 
yeomiiiii!!!! you are so determined huh!!!

hakuna mwenye kosa kati yako na yeye ila wewe unaelekea kweny ekutenda kosa kama utang'ang'ana wakati yeye hataki...utakuwa nuisance kwa mama wa rais atakushtaki shauri yako!!!
ni angalizo tu.....plz usikwazike!! [QUOTE]

Mbona unaharibu uhondo wa kibwagizo chetu tena?

Samahani kama nitakuwa nimekukwaza! 🙂

samahani kama nimekukwaza!!!!

hahaa iribini ile sla gani tena unaitikia the same thing mpaka unasinzia
......'utuombee' oooh yeah litani
 
Aulizaye anataka kujua ..FL1 naomba nijibu dadaangu ..i hope hujachukia !!..
hata mzee wako anaweza kujibu kwa niaba kama vidole vimeshindwa kutype..
watu /people mbona hamunielewi .. mie ni mwanamke kama kina Bht ,MJ1,Pearl ,Nyamayao ,na wengineo wote
 
Jamanieeeeeeeeeeeeeeeeee! Mbona mnanikwaza na hizi ofutopiki zenu?mko nje ya mada kabisa.
samahanini kama nitakuwa nimewakwaza!
 
Masaki pls nielewe mimi ni Mwanamke namsubiri FL1 anipe majibu usiwe na jazba darling ni simple tu anijibu sijamuhukumu kifo

Umeongea (umeandika) kwa huruma sana! Basi ngoja tusubiri FL1 akujibu, au la basi atakutumia PM!

Najua kwamba hujamhukumu kifo! Samahani kama nimekukwaza!
 
Aulizaye anataka kujua ..FL1 naomba nijibu dadaangu ..i hope hujachukia !!..
hata mzee wako anaweza kujibu kwa niaba kama vidole vimeshindwa kutype..
watu /people mbona hamunielewi .. mie ni mwanamke kama kina Bht ,MJ1,Pearl ,Nyamayao ,na wengineo wote

Kwa niaba ya members wote, naomba huyu dada aachwe atimize haja ya moyo wake, FL1kama wanisikia, mtimizie!
Nimeuona moyo wake, hana matatizo kama wengi tulivyodhani!
 
Aliyeulizwa ni FL1, sasa wengine kinyege nyege cha kuchangia mada hii kinatoka wapi? sorry kama nitawakwaza.
 
Aulizaye anataka kujua ..FL1 naomba nijibu dadaangu ..i hope hujachukia !!..
hata mzee wako anaweza kujibu kwa niaba kama vidole vimeshindwa kutype..
watu /people mbona hamunielewi .. mie ni mwanamke kama kina Bht ,MJ1,Pearl ,Nyamayao ,na wengineo wote

Samahani kama FL1 kakukwaza
 
samahani saaaaaaaaaaaaaaaaaana hapo umenikwaza weewe dada!!!

Amekukwaza nini na wewe?
Samahani kama nimekukwaza!

darling!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kwani yeye ni darling wa masaki biggy??

pole bht !!
ila namhitaji FL1 tuwe na amani


Dah! Ukiwa kwenye nyumba ya vioo usianzishe vita ya mawe! Egyps-women angalau umeomba msamaha kwa binamu yangu! Maana ulishamkwaza!
 
Jamanieeeeeeeeeeeeeeeeee! Mbona mnanikwaza na hizi ofutopiki zenu?mko nje ya mada kabisa.
samahanini kama nitakuwa nimewakwaza!

jamani Charity mbona hatujatoka nje

sorry kama tumekukwaza
 
Back
Top Bottom