FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

Haya sasa! Si unaona tena haya mambo? Maskini FL1 wetu kashajipotezea kwa hofu!

Mwezi wa toba ukiisha amani itoweke siyo?

Samahani kama nimekukwaza!

Xpin unaweza kuniacha ni deal na FL1 ?
please ...!!
 
FL1 uko wapi ?post yangu ndio imekukimbiza online ...??
Please njoo unipe majibu ya maswali yangu...
Hayupo hata mme wa FL1 ajitokeze hapa kumsaidia wife wake kunipa maswali ya majibu yangu ??
 
He, akatae kutoa maelezo,akijinyonga je mtoa mada? hamjui kahangaika sana.
 
Xpin unaweza kuniacha ni deal na FL1 ?
please ...!!
Yaani unataka kudeal na wife wangu afu nikuache siyo?

Hapa kwa kweli umenikwaza. Niombe samahani.

Am counting 5.........4............3.........
 
FL1 uko wapi ?post yangu ndio imekukimbiza online ...??
Please njoo unipe majibu ya maswali yangu...
Hayupo hata mme wa FL1 ajitokeze hapa kumsaidia wife wake kunipa maswali ya majibu yangu ??

si nshakwambia kuwa xpin ndo mumewe....well samahani kama nimekukwaza
 
Mh! Hii sasa ni shuguli pevu sana! Yaani unataka ujuwe alafu iweje? jamani mh! Kumbe kuna watu wanaandika humu jamii forums huku wakiangalia avatar wanabana miguu eeh? Loh, hata siamini!
 
]FL1 uko wapi ?[/B]post yangu ndio imekukimbiza online ...??
Please njoo unipe majibu ya maswali yangu...
Hayupo hata mme wa FL1 ajitokeze hapa kumsaidia wife wake kunipa maswali ya majibu yangu ??

Yupo busy anabadilisha Avantar! Hili tusijekwazika tena
 
Mh! Hii sasa ni shuguli pevu sana! Yaani unataka ujuwe alafu iweje? jamani mh! Kumbe kuna watu wanaandika humu jamii forums huku wakiangalia avatar wanabana miguu eeh? Loh, hata siamini!

Weka avatar yenye mvuto utashangaa inbox yako imejaa PM! 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…