Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Chrispin tatizo lako nini kakaangu?
Nimekugongea senksi kwenye hiyo red. Najua hutahangaika na profile yangu.
Samahani kama nimekukwaza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chrispin tatizo lako nini kakaangu?
...Tia mchuzi pangu pakavu!!! patamu hapo!!Masaki pls nielewe mimi ni Mwanamke namsubiri FL1 anipe majibu usiwe na jazba darling ni simple tu anijibu sijamuhukumu kifo
Haya sasa! Si unaona tena haya mambo? Maskini FL1 wetu kashajipotezea kwa hofu!
Mwezi wa toba ukiisha amani itoweke siyo?
Samahani kama nimekukwaza!
kalas
...Tia mchuzi pangu pakavu!!! patamu hapo!!
Chrispin tatizo lako nini kakaangu?
Need I Say More?huyo ndo mumewe FYI
Xpin unaweza kuniacha ni deal na FL1 ?
please ...!!
i am not going to tolerate anymore!ISHIA HAPA HAPA!pleaseXpin unaweza kuniacha ni deal na FL1 ?
please ...!!
Currently Active Users Viewing This Thread: 50 (23 members and 27 guests) Akili Unazo!, bht, BONGOLALA, Dreamliner, Egyps-women, GM7, Idimi, Kihorohonjo, Kyachakiche, Lily Flower, Masaki, mchumileo, Mutu, Ndege ya Uchumi, nyati, Pearl+, ral, tall, vivian
He, akatae kutoa maelezo,akijinyonga je mtoa mada? hamjui kahangaika sana.marital status hay asawana jina la mume wa FL1?? Limsaidie nini
kama hakujibiwa angesoma alama za nyakati basi (wengine ndo wako persistent kama yeye)
FL1 ana hiyari ya kumjibu na kumpa maelezo yake binafsi au akakataa vile vile, she is not bound to......na hafanyi makosa hapo
mie pia sijaona uungwana wake kuliweka hapa ili FL1 ajibu.....hawajibiki ni hiyari tu!!!
sorry kama ntawakwaza.....AU na E
Yaani unataka kudeal na wife wangu afu nikuache siyo?Xpin unaweza kuniacha ni deal na FL1 ?
please ...!!
FL1 uko wapi ?post yangu ndio imekukimbiza online ...??
Please njoo unipe majibu ya maswali yangu...
Hayupo hata mme wa FL1 ajitokeze hapa kumsaidia wife wake kunipa maswali ya majibu yangu ??
]FL1 uko wapi ?[/B]post yangu ndio imekukimbiza online ...??
Please njoo unipe majibu ya maswali yangu...
Hayupo hata mme wa FL1 ajitokeze hapa kumsaidia wife wake kunipa maswali ya majibu yangu ??
Xpin unaweza kuniacha ni deal na FL1 ?
please ...!!
FL1 uko wapi ?post yangu ndio imekukimbiza online ...??
Please njoo unipe majibu ya maswali yangu...
Hayupo hata mme wa FL1 ajitokeze hapa kumsaidia wife wake kunipa maswali ya majibu yangu ??
He, akatae kutoa maelezo,akijinyonga je mtoa mada? hamjui kahangaika sana.
Mh! Hii sasa ni shuguli pevu sana! Yaani unataka ujuwe alafu iweje? jamani mh! Kumbe kuna watu wanaandika humu jamii forums huku wakiangalia avatar wanabana miguu eeh? Loh, hata siamini!
...Tia mchuzi pangu pakavu!!! patamu hapo!!