FL1 -Sorry kama nitakukwaza !

He, akatae kutoa maelezo,akijinyonga je mtoa mada? hamjui kahangaika sana.

anahangaikia nini sasa........wat is the motive behind mahangaiko yake???
ana malice huyu......
 
Wenye low IQ ndio wanapenda sana kuongelea mapenzi.!

Haya bwana wewe IQ kubwa unae ongelea siasa sijui zimekusaidia nini mpaka sasa?
Samahani kama nimekuumiza.
 
Haiwezki kutokea, lazima application letter ya kurudi toka likizo iwe approved na wewe! 🙂

nillianza kupekua mafaili just in case secretary hakuiweka tray in.....dah hujanikwaza kabisa!!!

Hapo Mamushka wala hujamkwaza. Kwa kweli kabisa hamna kikwazo hapo!

asante biggy......maana alivotumia yale maneno mmh mi nikakwazika bt akishasema samahani
 
Jamani angalieni location ya first lady.

Jukwaa la Siasa (524 Viewing)
Tanzania & World Politics General Discussion Forum. You need to be registered in order to post your comment(s)



Mahusiano, mapenzi, urafiki (339 Viewing)
Tubadilishane mawazo kuhusu mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana. TAFADHALI: Hii si sehemu ya kuweka picha chafu ama kutumia lugha kali sana. Zitafutwa!
 
Asante ..
FL1 pls come! naona watu wanadandia treni!

jamani wewe si ulisema kwa niaba ya JF member sasa yamekuwa ya kudandia treni eeeh!!!???
samahani kama tumekukwaza
 
namshangaa huku sijui kafuata nini...huyu kanikwaza......halafu wewe

samahani huyu alosema hivi yupo page gani tena......

debe tupu..........haliishi kupiga kelele!!! malabuku!!!
 
Haya bwana wewe IQ kubwa unae ongelea siasa sijui zimekusaidia nini mpaka sasa?
Samahani kama nimkuumiza.

Hakafu kama ana IQ kubwa si aende akaombe kazi NASA(!?) Au mwenzetu kujadili umeme kupita au kutopita mbele ya Kanisa la Kakobe ndio kuwa na IQ kubwa?
 
samahani huyu alosema hivi yupo page gani tena......

debe tupu..........haliishi kupiga kelele!!! malabuku!!!

wakwetu kwa kiwango cha hasira ulichonacho msamehe bure ameshachoka huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…