Slow learner naona!si nshakwambia kuwa xpin ndo mumewe....well samahani kama nimekukwaza
He, akatae kutoa maelezo,akijinyonga je mtoa mada? hamjui kahangaika sana.
Nasubiria maswali yako.Tall sielewi kwanini watu wananishambulia kihivi?
Wenye low IQ ndio wanapenda sana kuongelea mapenzi.!
Ntajibu matatu tu. Anza na la tatu.
Haiwezki kutokea, lazima application letter ya kurudi toka likizo iwe approved na wewe! 🙂
Hapo Mamushka wala hujamkwaza. Kwa kweli kabisa hamna kikwazo hapo!
Unahitaji maombezi weweAliyeulizwa ni FL1, sasa wengine kinyege nyege cha kuchangia mada hii kinatoka wapi? sorry kama nitawakwaza.
Jamani angalieni location ya first lady.
Haya bwana wewe IQ kubwa unae ongelea siasa sijui zimekusaidia nini mpaka sasa?
Asante ..
FL1 pls come! naona watu wanadandia treni!
namshangaa huku sijui kafuata nini...huyu kanikwaza......halafu wewe
hivi anaishi wapi........nimetafuta post yake nisome naona anakimbia kweli kweliJamani angalieni location ya first lady.
Haya bwana wewe IQ kubwa unae ongelea siasa sijui zimekusaidia nini mpaka sasa?
Samahani kama nimkuumiza.
...FL1 acha woga toa majibu mama au unadhani ni jini kabula huyu dada??.....I hope sijamkwaza mtu!..pole bht !!
ila namhitaji FL1 tuwe na amani
Currently Active Users Viewing This Thread: 44 (18 members and 26 guests) Chrispin, Akili Unazo!, bht, Dreamliner, Egyps-women, Kaitaba, Kyachakiche, Laligeni, Lily Flower, mayenga, mchumileo, nyati, Pearl+, tall, vivian
Nasubiria maswali yako niyajibu mbele ya hawa mashahidi. Mimi ndio mme wa FL1
samahani huyu alosema hivi yupo page gani tena......
debe tupu..........haliishi kupiga kelele!!! malabuku!!!