Flash back, Mj akifanya shopping Las Vegas

But you must understand that when he died the only thing they found in his stomach was anti depression pills
 
Unakosea sana Chief. ..
Diamond will be the icon of bongo falva in the long run....
The only living true meaning of bongo flava superstar to date....
 
sijasikia hata mahalai akiomba discount walahi Maisha haya...
 
Inapendeza...

Kazi yake mola, haina makosa, atafanya atakacho atafanya apendalo kwani dunia ni yake...



Cc: mahondaw
 
Nilihisi master Jay hadi nilipofungua Link na kukutana na mtabe wa Pop duniani RIP Michael Jackson. Hii ndio maana halisi ya Flexin!
Spend it like nobodys business
 
Nilihisi master Jay hadi nilipofungua Link na kukutana na mtabe wa Pop duniani RIP Michael Jackson. Hii ndio maana halisi ya Flexin!
Spend it like nobodys business
Ha ha ha. Bongo dhiki tupu. Fikiria mtu ananunua Noah used ya 1999 anairusha insta na caption ' MY BRAND NEW CAR' mtu kafungua kibanda Cha mama ntilie nae anajiona super star. Ndo maana kila mtu anawaza siasa tu.
 
Kweli watu wanafaidi maisha
Maskini mie madenge mwana wa nyange.

Nipo kutwa na masufuria yangu natembeza
 
Yote hayo aliyapeleka wapi haka kajamaa ukute hata ladha ya k hakaijui [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila alikuwa anapendwa jamani
The most talented musician of all the time .

Nimetoka kusikiliza "You rock my world" Sasa hivi kabla sijafungua huu Uzi[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…