napenda movie
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 543
- 481
- Thread starter
-
- #21
kwa sisi tanzania kuna watanzania wanafanya hizo kazi tena nipo nao kukufanyia remoty ya kutoa lock ama frp inaenda kwa bei ya kitanzania kabisa tena chap tu na mnafanya kazi mkiwa mnachat kiswahili yaani chap tu kama unayo sema nikuunganisha tupige kazi chap kwa simu inayoleta shida kwa sasa ni OPPO peke yake zingine mtelemko tu aaan
kwa kubypass simu kalibia simu zote naweza sema labda kuamsha simu kama samsung ikiwa haiwaki hapo ndo nahitaji box lakini kama ni hangng logo ODDIN inasaidia sana kwa sasa nakuambia na hakuna kazi kabisa ikiwa una signed firmware utaona mambo ni simpo sana
sawa mkuu ngoja tuwasubilie waje mkuu natumai kabisa kwa shida tutaweza kufix kama zote vileSawa, sisi ambao tunajua ngoja tukae pembeni tusubiri maoni ya wadau ambao ni wageni kwenye tanisia hii ya ufundi tutawasaidia kuwapa majibu.
Sasa hivi bei ni juu mno, ukikutana na samsung yenye frp latest security utaimba pambio kama zote na kwa remoty server wanataka 15$
Sasa hivi bei ni juu mno, ukikutana na samsung yenye frp latest security utaimba pambio kama zote na kwa remoty server wanataka 15$
remoty server hapa naomba hii idea inakuaje maana Nina idea ya frp lock kidogo
Kuna mtu anayo tecno ambayo wakat inawaka inaishia kwenye logo yakampuni, naweza iflash kwa kuweka firmware yake ? Kulingana na tatizo lilivyo na nitatumia flash tool ipi
Frp inatolewa kwa server na mtu mwingine kwa remoty yaani mashine yako na mashine ya mtu mwingine inakuwa connected kwa pamoja. Then processs inafanyika kikubwa uwe na bando
Techno w5 lite
Tecno W5 nyingi huharibika saketi ila jaribu kuflash, tafuta file lake kisha flash kwa sp tools
Ivi kumbe naweza flash sim kama imeishia kwenye boot logo?
Una link nayoweza pata firmware za sim ?
inawezekana unataka firmware ya simu gani mkuu tukupatie chap na mapemaIvi kumbe naweza flash sim kama imeishia kwenye boot logo?
Una link nayoweza pata firmware za sim ?
tecno w5 lite zinaachana build number hivyo inafaa uangalie kwanza buil number kwenye recovery mode utaipata na itasaidia kuweka firmware yenye uhakika japo simu hizo hua zinashida kubwa sana maana EMMC yake imewekwa kwa mfumo flani hua inapata moto kuchemka hatimaye miguu iaanchana ya hapa kwa EMMC au CHIP basi hiyo simu hua ni changamoto kubwa mara nyingi kupona inafaa ubadilishe EMMC ama saketiTechno w5 lite
Simu yako ni aina gani?
miracle thunder unayo hiyo crack ya 3.5hapana ukiwa hauna box mwenye nalo anaweza kukuremoty na kazi ikafanyika chap kinachohitajika kwa sasa ni kua na pc bando lako tu na makubaliano ya bei kwa mhusika mwenye box na hua ni chip sana na kazi inaweza chukua dakika 15 hadi 30 kulingana na simu husika hivyo uwezekano upo tena mkubwa lakini kuna clack zenye nguvu kama vile miracle thunder 3.5 jalibu kuitafuta