MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
Customer firmware upgrader ya Tecno c5 na samsung Tab4... please kama naweza kupata maujanja
Tecno C5 ina shida gani?
Na hiyo Samsung Tab4 ina shida gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Customer firmware upgrader ya Tecno c5 na samsung Tab4... please kama naweza kupata maujanja
najua unaitaka kwa hamu kubwa sana 3.5 kuna 3.2 hiyo ndo free ila 3.4 hadi 5 hiyo ipo kwa malipomiracle thunder unayo hiyo crack ya 3.5
Nahitaji kuziupgrade firmwar zke baad ykukos currnt officil firmwreTecno C5 ina shida gani?
Na hiyo Samsung Tab4 ina shida gani?
kuna namna mm naweza kufanya nikafika hapa?View attachment 1475328
Hii ni MTK lakini katika swala la kuflash kuna tools yake maalumu, huwezi kutumia tools ya Tecno kuflashia hii Samsung Yako.
namaanisha nabofya wapi ili simu idisplay hizi taarifaView attachment 1475328
Hii ni MTK lakini katika swala la kuflash kuna tools yake maalumu, huwezi kutumia tools ya Tecno kuflashia hii Samsung Yako.
namaanisha nabofya wapi ili simu idisplay hizi taarifa
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Hapo nimetumia google kuweza kupata specification zake kwa urahisi zaidi.
Aina na Model ya simu?hivi ipo njia rahisi ya kubypass google verification maana zile video za youtube sizielewi kabisa,au hayo mambo siyawezi niyaache???
Unaweza nipa hyo 3.2najua unaitaka kwa hamu kubwa sana 3.5 kuna 3.2 hiyo ndo free ila 3.4 hadi 5 hiyo ipo kwa malipo
Ukizoea kutengeneza simu za Tecno utaona kila simu ni rahisi kutengeneza. Si oppo tu kwamba ndiyo simu tata kwa maswala ya kuflash. Zipo kampuni nyingi za simu ambazo zimezuia uwezo wa flashing tools kuweza kufanya kazi kwenye simu zao.kwa sisi tanzania kuna watanzania wanafanya hizo kazi tena nipo nao kukufanyia remoty ya kutoa lock ama frp inaenda kwa bei ya kitanzania kabisa tena chap tu na mnafanya kazi mkiwa mnachat kiswahili yaani chap tu kama unayo sema nikuunganisha tupige kazi chap kwa simu inayoleta shida kwa sasa ni OPPO peke yake zingine mtelemko tu aaan
XTM_Miracle Thunder Premium v3.02 GSX New Setup ZMSUnaweza nipa hyo 3.2
hizo huduma zinalipiwa na kufanyiwa actvation kama kuna iliyokushinda ebu ilete hapa tutoe utata sio kusema zipo na hatuzioniUkizoea kutengeneza simu za Tecno utaona kila simu ni rahisi kutengeneza. Si oppo tu kwamba ndiyo simu tata kwa maswala ya kuflash. Zipo kampuni nyingi za simu ambazo zimezuia uwezo wa flashing tools kuweza kufanya kazi kwenye simu zao.
Wana software maalum kwa ajili ya simu zao na zinapatikana service center tu, Hii ndio imeleta biashara ya remotely kwa simu aina hiyo.
hiyo simpo sana signed firmware na oddin peke ake ingekua haiwaki kaisa tungetumia zx3Samsung yangu J5 ilishawahi kunigandia,inawaka ila haifiki mwisho.
Kama una access ya xiomi authentication account tufanye biashara.hizo huduma zinalipiwa na kufanyiwa actvation kama kuna iliyokushinda ebu ilete hapa tutoe utata sio kusema zipo na hatuzioni
Mbn hazitoshXTM_Miracle Thunder Premium v3.02 GSX New Setup ZMS
baada ya kumaliza ku download extract pass ni 123
zimekuaje hizo hizo znfnya nn 123Mbn hazitosh