Hahahhuyo hiyo ni fani yake, nafikiri pia ndiyo ilimsaidia kupata ubunge
SanaHuyo ni mwanasarakas toka,miaka ya themanini,,na mkumbuka sana flatei
Unafikiri kuna kipi zaidi ya kumpigia ‘Parapanda’?Angepiga huo upara kwenye hizo paving sijui angefanyaje?