Flatei Massay Mbunge wa Mbulu Vijijini aruka sarakasi kwa furaha baada ya kukabidhiwa gari na Waziri

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay akiruka sarakasi kwa furaha baada ya kukabidhiwa gari kwa ajili ya kupambana na ujangili na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigangwalla.

Waziri ametoa magari hayo kwa Halmashauri sita nchini kukabiliana na ujangili

Chanzo: Mwananchi

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…