Nampa pongezi zangu huyo aliepiga hiyo picha akiwa hewani hivyoMbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay akiruka sarakasi kwa furaha baada ya kukabidhiwa gari kwa ajili ya kupambana na ujangili na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigangwalla.
Waziri ametoa magari kwa Halmashauri sita
Chanzo: Mwananchi
View attachment 774989
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] not necessarilyhuyo hiyo ni fani yake, nafikiri pia ndiyo ilimsaidia kupata ubunge
Amecatch the moment vizuri sanaNampa pongezi zangu huyo aliepiga hiyo picha akiwa hewani hivyo
Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay akiruka sarakasi kwa furaha baada ya kukabidhiwa gari kwa ajili ya kupambana na ujangili na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigangwalla.
Waziri ametoa magari kwa Halmashauri sita
Chanzo: Mwananchi
View attachment 774989
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji780] [emoji780] [emoji780]Atakuwa wa ccm huyu
Aissee
Jiwe apige nini sasa...Pushup Hajui?
Watu wako makini aisee, matukio ya kushtukiza yananaswa ipasavyoAngetengua kiuno au kuvunjika shingo angepelekwa India kwa matibabu?
Hongera kwa mpiga picha aliyedaka tukio mubashara.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ameshamfunika Mzee wa Push up.
Kumkabidhi mbunge gari sioni kama in sahihi, hapo alitakiwa akabidhiwe Mkurugenzi au wao wenyewe maliasili wapeleke gari na askari wakajitambulishe kwa DCMbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay akiruka sarakasi kwa furaha baada ya kukabidhiwa gari kwa ajili ya kupambana na ujangili na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigangwalla.
Waziri ametoa magari hayo kwa Halmashauri sita
Chanzo: Mwananchi
View attachment 774989