Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wanawake wenye tamaa huwa wanafiki sana.Hasa hawa wetu huku.
Huyu ni mwanamke maarufu aliandika yake ya moyoni kuwa anavutiwa kingono na wanaume weusi.
Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni kengele ya tahadhari kwamba anaweza kufanya chochote na mtu mweusi aliyevutiwa naye.Ninahisi bwana ake hana hiyo rangi nyeusi.Huenda yuko naye kwa tamaa ya pesa na umaarufu wake.Ila havutiwi naye kingono.
Ila sasa ni kwanini hakutafuta huyo black hadi anasubiri kapata mwanaume mwenye light skin color ndipo anatangaza yake ya moyoni leo?
Namtakia balaa zito kwa kujaribu kumuumiza mwanaume wake sasa wakati alikuwa ana nafasi ya kumkataa kwa vile ana choice yake yaani wanaume weusi.
Hata mtu kama P Funk naye anaangukia kwenye category ya black man maana naona humu kuna watu wanaodhani blackmen ni watu kama Joash Onyango au Baraka Prince na si mtu kama Ally Kiba
Mkuu neno Vawulensi(Violence) naliona Twitter sana ,hivi nani aliyelianzisha?Dada wa watu kaandika sentensi moja kwenye mtandao, wewe umeanzisha kikao kabisa. Punguza vawulensi mazee
ngono tenaWanawake wenye tamaa huwa wanafiki sana.Hasa hawa wetu huku.
Huyu ni mwanamke maarufu aliandika yake ya moyoni kuwa anavutiwa kingono na wanaume weusi.
Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni kengele ya tahadhari kwamba anaweza kufanya chochote na mtu mweusi aliyevutiwa naye.Ninahisi bwana ake hana hiyo rangi nyeusi.Huenda yuko naye kwa tamaa ya pesa na umaarufu wake.Ila havutiwi naye kingono.
Ila sasa ni kwanini hakutafuta huyo black hadi anasubiri kapata mwanaume mwenye light skin color ndipo anatangaza yake ya moyoni leo?
Namtakia balaa zito kwa kujaribu kumuumiza mwanaume wake sasa wakati alikuwa ana nafasi ya kumkataa kwa vile ana choice yake yaani wanaume weusi.
Wakenya. Wao ndio wako kwenye hii mixing ya kiingereza chao na kiswahili. Wale watu wako na sense of humor sana. Tena kwenye mitandao wanatushambulia sana wabongo lakini usichulie serious. Sijui wanapata wapi muda wa kuwa kwenye internet saa zote. They're so fnk funnyMkuu neno Vawulensi(Violence) naliona Twitter sana ,hivi nani aliyelianzisha?
HAPA UMEMALIZA KILA KITU. WANAWAKE WANAPENDA SANA WATOTO WEUPE. SANA SIYO KIDOGO. NA WANAUPENDA SANA WEUPE. SASA WANAONA MWANAUME AKIWA MWEUPE ANAMFUNIKA YEYE KAMA NI MWEUSI.Usimwamini mwanamke, hawa maanishagi wanachokiongea hao
Ukitaka kujua wanawake hawa maanishi wanacho ongea,angalia wanavyo penda watoto weupe kuliko weusi.
Sasa utapendaje mtoto mweupe hafu mme unataka hawe mweusi kama sio janja janja.
Akili mtu wangu usihamini mwanamke kwa kauli zake hata kidogo hawa maanishi hata kidogo wakisema hawapendi ni kinyume chake.
Halafu wanataka wapate watoto weupe.....π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£πππAsilimia kubwa ya wanawake hupenda wanaume weusi!
Upo sahihi kiongozi alimaanisha black men na sio dark skin menNi mimi ambaye sijamuelewa ama,,? Anaposema black men anamaanisha mwafrika bila kujali ni light skin brown) au weusi wa mpingo as long as ni mwafrika na si white man (mzungu)
Amesema kweli
Ila hata wazungu wazuri na waarabu weee
Hata kuna wabongo hawaogiUnawapenda wazungu kwasababu hawaogi na waarabu kwa ile mindevu kama mbuzi
Na sisi wafupi na weupe lakini tuna pesa sio sexy ?Wanawake wenye tamaa huwa wanafiki sana.Hasa hawa wetu huku.
Huyu ni mwanamke maarufu aliandika yake ya moyoni kuwa anavutiwa kingono na wanaume weusi.
Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni kengele ya tahadhari kwamba anaweza kufanya chochote na mtu mweusi aliyevutiwa naye.Ninahisi bwana ake hana hiyo rangi nyeusi.Huenda yuko naye kwa tamaa ya pesa na umaarufu wake.Ila havutiwi naye kingono.
Ila sasa ni kwanini hakutafuta huyo black hadi anasubiri kapata mwanaume mwenye light skin color ndipo anatangaza yake ya moyoni leo?
Namtakia balaa zito kwa kujaribu kumuumiza mwanaume wake sasa wakati alikuwa ana nafasi ya kumkataa kwa vile ana choice yake yaani wanaume weusi.
Hawaogi kwasababu maji tabu. Kwa hilo nawalaumu watu wa wizara ya maji tu. Wazungu hawaogi kwasababu wanasema maji kila siku sio nzuri kwa ngozi. Eew, good luckHata kuna wabongo hawaogi