Flaviana: "Black men are sexy"

Flaviana: "Black men are sexy"

Wanawake wenye tamaa huwa wanafiki sana.Hasa hawa wetu huku.
Huyu ni mwanamke maarufu aliandika yake ya moyoni kuwa anavutiwa kingono na wanaume weusi.

Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni kengele ya tahadhari kwamba anaweza kufanya chochote na mtu mweusi aliyevutiwa naye.Ninahisi bwana ake hana hiyo rangi nyeusi.Huenda yuko naye kwa tamaa ya pesa na umaarufu wake.Ila havutiwi naye kingono.

Ila sasa ni kwanini hakutafuta huyo black hadi anasubiri kapata mwanaume mwenye light skin color ndipo anatangaza yake ya moyoni leo?

Namtakia balaa zito kwa kujaribu kumuumiza mwanaume wake sasa wakati alikuwa ana nafasi ya kumkataa kwa vile ana choice yake yaani wanaume weusi.

Mkuu hata mkeo ukiyajua anayowaza unaweza kumkimbia ,wanawake ni ile tu haiba ya chini kwa chini lakini wana matamanio makubwa sana sema ni ile stara tu ndio inawaminya.

Kuna uzi humu uliandikwa kwamba wanawake wanapenda big cock na kunyanduliwa ila wanajifanya kama hawataki ila wanapenda balaa....ukipata muda pitia mijadala yao hello tanzania ndio utajua haujui.
 
Wanawake wenye tamaa huwa wanafiki sana.Hasa hawa wetu huku.
Huyu ni mwanamke maarufu aliandika yake ya moyoni kuwa anavutiwa kingono na wanaume weusi.

Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni kengele ya tahadhari kwamba anaweza kufanya chochote na mtu mweusi aliyevutiwa naye.Ninahisi bwana ake hana hiyo rangi nyeusi.Huenda yuko naye kwa tamaa ya pesa na umaarufu wake.Ila havutiwi naye kingono.

Ila sasa ni kwanini hakutafuta huyo black hadi anasubiri kapata mwanaume mwenye light skin color ndipo anatangaza yake ya moyoni leo?

Namtakia balaa zito kwa kujaribu kumuumiza mwanaume wake sasa wakati alikuwa ana nafasi ya kumkataa kwa vile ana choice yake yaani wanaume weusi.
ngono tena
 
Mkuu neno Vawulensi(Violence) naliona Twitter sana ,hivi nani aliyelianzisha?
Wakenya. Wao ndio wako kwenye hii mixing ya kiingereza chao na kiswahili. Wale watu wako na sense of humor sana. Tena kwenye mitandao wanatushambulia sana wabongo lakini usichulie serious. Sijui wanapata wapi muda wa kuwa kwenye internet saa zote. They're so fnk funny
 
Labda Flavi alikuwa anamaanisha Wasenegal au Wagambia. Wakitajwa wanaume weusi Wabongo inabidi tutulie tu. Yaani kuna nchi ukifika hakuna haja ya kujieleza, wanakuona kabisa wewe sio wa hapa. Sema tofauti nyingine wenzetu ni warefu kuliko sisi. Kwamfano ukitaka watu wasimletee mazereu demu wako Bongo, chukua kifaa kirefu. Wabongo wote ni wafupi Yaani huyo atakuwa demu wako peke yako
 
Usimwamini mwanamke, hawa maanishagi wanachokiongea hao

Ukitaka kujua wanawake hawa maanishi wanacho ongea,angalia wanavyo penda watoto weupe kuliko weusi.

Sasa utapendaje mtoto mweupe hafu mme unataka hawe mweusi kama sio janja janja.

Akili mtu wangu usihamini mwanamke kwa kauli zake hata kidogo hawa maanishi hata kidogo wakisema hawapendi ni kinyume chake.
HAPA UMEMALIZA KILA KITU. WANAWAKE WANAPENDA SANA WATOTO WEUPE. SANA SIYO KIDOGO. NA WANAUPENDA SANA WEUPE. SASA WANAONA MWANAUME AKIWA MWEUPE ANAMFUNIKA YEYE KAMA NI MWEUSI.
 
Ni mimi ambaye sijamuelewa ama,,? Anaposema black men anamaanisha mwafrika bila kujali ni light skin brown) au weusi wa mpingo as long as ni mwafrika na si white man (mzungu)
Upo sahihi kiongozi alimaanisha black men na sio dark skin men

Baada ya kuona wabongo uelewa wao ni mdogo ndo akatuma post nyingine kufafanua kama ulivyosema
 
Amesema kweli
Ila hata wazungu wazuri na waarabu weee
 
Wanawake wenye tamaa huwa wanafiki sana.Hasa hawa wetu huku.
Huyu ni mwanamke maarufu aliandika yake ya moyoni kuwa anavutiwa kingono na wanaume weusi.

Ijapo bwana yake simfahamu, hiyo ni kengele ya tahadhari kwamba anaweza kufanya chochote na mtu mweusi aliyevutiwa naye.Ninahisi bwana ake hana hiyo rangi nyeusi.Huenda yuko naye kwa tamaa ya pesa na umaarufu wake.Ila havutiwi naye kingono.

Ila sasa ni kwanini hakutafuta huyo black hadi anasubiri kapata mwanaume mwenye light skin color ndipo anatangaza yake ya moyoni leo?

Namtakia balaa zito kwa kujaribu kumuumiza mwanaume wake sasa wakati alikuwa ana nafasi ya kumkataa kwa vile ana choice yake yaani wanaume weusi.
Na sisi wafupi na weupe lakini tuna pesa sio sexy ?
 
Hata kuna wabongo hawaogi
Hawaogi kwasababu maji tabu. Kwa hilo nawalaumu watu wa wizara ya maji tu. Wazungu hawaogi kwasababu wanasema maji kila siku sio nzuri kwa ngozi. Eew, good luck
 
Back
Top Bottom