The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Hallo!...yeah Opp...tafuta na wewe wako akusuuze moyo...naona unatuonea gere hapa....Ila nimesha change mind yangu The Boss msukuma.....
mimi ni mnyamwezi kwa baba.
kwa mama ni muemba,
halafu nimezaliwa dar,
ukiwa na akili za kitoto utapoteza bahati hivi hivi......
obama ni mjaluo au mmarekani?????