Hallo!...yeah Opp...tafuta na wewe wako akusuuze moyo...naona unatuonea gere hapa....Ila nimesha change mind yangu The Boss msukuma.....
wasukuma wako
walizaliwa wapi?
hivi obama ni mjaluo?????
Wasukuma that i know majority wamezaliwa na kukuliwa huko huko Biharamulo na nyegezi.....
Mu-emba ndiyo kabila la wapi?...usijifanye sasa na ww ni mtutsi?
Obama ni Mjaluo wa kenya kwa baba na Mmarekani kwa mama and by birth acha sasa kuomba undugu wa nguvu na wewe ol!....
mimi nimezaliwa ocean road........
kwa hiyo u can tell the difference.
Sasa Kuzaliwa Ocean Rad ndiyo nini mbona mimi nimezaliwa kwenye hospitali ya rufaa kule nachingwea?....Na hatuna tofauti mimi na wewe>?
...lakini baadhi ya masuper stars wabongo huwa wana kasumba ya kukataa ukweli,kama mtu ni kweli amekusaidia hata kama ni kwa kiasi kidogo kwanini umkatae,inawezekana ni juhudi zake ndizo zilizomfikisha hapo lakini huwa tunasahau ku-appreciate hata support ndogondogo tunazopata toka kwa watu wengine.,inawezekana ndiye aliyemsaidia kusettle huko bondeni hata kama kipaji alikuwa nacho tayari lakini huo nao ni msaada lazima uheshimiwe.
mi nakumbuka mwanzo Flafiana alichaguliwa kuwa miss University. ni kweli alikuwa mwanafunzi pale udsm lakini sina uhakika na kuhitimu kwake.Du! kazi zingine hizi Mungu apishie mbali. kwa hiyo kazi ya dada yetu huko ughaibuni ni kuvaa hivyo viguo.? kweli kiama kimekaribia
binti maringoooooo.....Have a baby by me babe and be a millionare.... Hapa naona unatutaka mi-dume shughuli...hebu tafakari ..chukua hatua....kisha uje kivingine....ni maoni tuuu
Ok, not that I care, but since a name has been dropped, i just read a link from Haki blog and found the article "Meteoric rise of Tanzanian beauty..."
Assuming Millen Magesse is the concerned culprit, could the misleading part be this paragraph;
The 179cm tall model was the first Tanzanian model to be signed by Ice Models in South Africa. She later paved the way for former Miss Universe Tanzania Flaviana Matata.
I think it is a language problem by the accusser and Millen Magesse has done nothing wrong. Infact, if you read the article well, it is not an interview, and Millen is not quoted at all.
mnhhh..mie sijui hata niwe upande gani..."every story got two sides....this is flaviana,s....sijui kuna mtu hapa jamvini amesikia au kusoma story ya huyo mtuhumiwa wa kuuza sura ili tuweze kutoa maamuzi sahihi....ila nachoamini pia...sio kila wema mtu unaoutenda unahitaji kulipwa shukrani na uliyemtendea....ni suala la aliyetendewa wema ku-uvalue huo wema ulioutenda ndio aamue kukulipa shukrani (appreciation/recognition)......
hapa ishu inakuwa nzito pale mtu anapotenda wema na kuamini ni haki ya kutambuliwa katika success story ya aliyemtendea huo wema no matter how small mtendwa ( flaviana ) anavyouona....pagumu hapoooo..kila mtu anaamini anayo haki ya kutambuliwa...ni maoni tuu
Yani hata mie nilidhani ni Agency wake, mhh mambo kweli yeye Lavvy anadai kuwa hajawahi msaidia kwa lolote wala huyo Millen hapajui nyumbani kwa Lavvy jamni haya tutafika tu wadada wanamambo!
Binti maringo hiyo avatar yako balaaa nipunguzie kidogo plz!!!!!
Kivipi mkuu?mhhh wabongo bana,
tunafurahiiiiisha.kwa kweli.
Kuna tofauti kubwa kati ya walioenda shule na wasioenda!
Miriam ni jaluomiriam ni mtu wa musoma.
mkurya i guess....
why????
natafuta hiyo scripture,ntakutajia.
Mama Subi...Kama shule Flaviana ameenda i think ana degree ya Engineering from UDSM!.....Kama sikosei nilimsikia katika interview yake aliyofanya alivyokwenda kwenye ile big brother Africa-Revolution......
Oh well pia kuna shule za aina mbili unaweza ukaenda shule just because or ukaenda shule kupata education ili uweze kuwa somebody..... career wise....