Ilongailunga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 1,388
- 896
Ha ha ha hii ni kaliWabongo ndio walivyo, hata wakikutuma ukawawashie sigara ukikua utasikia wanadai wamekulea.
aaaah kwa nini jaman? basi angekua na sura sasa binamu, sura yenyewe kama tako la mpokihapa sina coment huyu binti hajawahi kabisa kuniingia moyoni
uwiii unanivunja mbavu ujue weweHiyo degree ya Engineering atakuwa amechukua Zoom Polytechnic sio CoET-UDSM niliyosoma mimi.
umemsahau wema sepetu, nasikia ana P.HD ya UDSMKasoma UDSM? Acha uchuro wewe..kihiyo aliyefeli kidato cha nne anasomahe UDSM sasa?..mamiss waliosoma pale ni kina angela damas..irene kiwia na huyo kidot..
Kaka yangu ni Electrical Engineer from UD amezaliwa 1987 aligraduate since 2011 labda sijui system ya wapi unaongelea...lakini baadhi ya masuper stars wabongo huwa wana kasumba ya kukataa ukweli,kama mtu ni kweli amekusaidia hata kama ni kwa kiasi kidogo kwanini umkatae,inawezekana ni juhudi zake ndizo zilizomfikisha hapo lakini huwa tunasahau ku-appreciate hata support ndogondogo tunazopata toka kwa watu wengine.,inawezekana ndiye aliyemsaidia kusettle huko bondeni hata kama kipaji alikuwa nacho tayari lakini huo nao ni msaada lazima uheshimiwe.
Honorary phd?umemsahau wema sepetu, nasikia ana P.HD ya UDSM