Hapana huyu kazidi hapo unajiumiza tu.Ni kupoteza tu muda.
Sema kuna msemo unasema nyama inapokuwa karibu na mfupa ndo utamu wake unavyoongezeka.
Nimecheka kweli 🤣🤣🤣Usicheke eti nimeuliza tu swali, huyu kazidi
😀😀🙌Sasa hapo unatomba nini?
Huyu alikuja kuolewa tena ama kuoa au amehamua kuwa single bila mtoto?Balozi wa Njaa tokea Tanzania.
Flaviana Matata. Mimi sijapenda hizi picha aisee huyu model au ? Daah
kweli kakosa ubunifu vazi gani sasa...
uongo dhambi kachoka kiakili.
SEMA UMEUPIGA MWINGI...View attachment 2542516
Ha ha ha ...[emoji38]Sasa hapo unatomba nini?
Oooh hapo sawa.Mtoto hufuata ukoo wa baba baba yake ni msukuma mama yake ni mnyambo
Yeye mwenyewe hujitambulisha kwamba ni Mnyambo, nadhani tumuamini yeye bila kujali mchanganyiko wa makabila aliyonayo. Kachagua mwenyewe kuwa Mnyambo.Mtoto hufuata ukoo wa baba baba yake ni msukuma mama yake ni mnyambo
Sasa nyama aongeze wp wkt picha yenyewe haina nyama kabisaHebu ongeza nyama nyama
Kuna siku alikuwa anahojiwa na salama akamwambia kama yeye ni mhaya, design kama alikaa akasema yeye msukuma ndipo nilijua baba yake msukumaYeye mwenyewe hujitambulisha kwamba ni Mnyambo, nadhani tumuamini yeye bila kujali mchanganyiko wa makabila aliyonayo. Kachagua mwenyewe kuwa Mnyambo.
Hebu weka na picha ya sepetunga, tulinganisheBalozi wa Njaa tokea Tanzania.
Flaviana Matata. Mimi sijapenda hizi picha aisee huyu model au ? Daah
kweli kakosa ubunifu vazi gani sasa...
uongo dhambi kachoka kiakili.
SEMA UMEUPIGA MWINGI...View attachment 2542516
Unawaza nini mkuu sema tu, hata mimi nikisikia neno CHUGA huwa sielewiHivi unajua kila nikiwaza neno hili Mnyambo napata maana nyingine kabisa mimi ni mtu wa hovyo sana🤣😂
Aise 🤣Sasa nyama aongeze wp wkt picha yenyewe haina nyama kabisa
We jamaa wewe! unawaza mambo mabaya mkuu!Unawaza nini mkuu sema tu, hata mimi nikisikia neno CHUGA huwa sielewi
Mifupa tu hiyo..Hebu ongeza nyama nyama
Ili designer kakosea kumpa flavi bhanaShe's just a model...
Models huwa hawabuni mavazi, bali wanavaa mavazi yaliyobuniwa na designers ili kuyatangaza...
Na wewe chagua kua mchina, uone tutakutambua vipi.Yeye mwenyewe hujitambulisha kwamba ni Mnyambo, nadhani tumuamini yeye bila kujali mchanganyiko wa makabila aliyonayo. Kachagua mwenyewe kuwa Mnyambo.