Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Utopolo katika ubora wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba ni mbovu tulishayasema haya toka muda
Yanga ana quality lakini simba anakuwa na form then form is temporary but quality (class is permanent)
Victor Akpan mbona hapendwiMatola ndo anampa ushauri
Kwanini alimpamga na ni mchezaji wa kawaida sanaMgunda hana makosa, kyombo yeye na nyavu kapaisha
Vipi kimataifa mbona mnakandwa deileSimba ni mbovu tulishayasema haya toka muda
Yanga ana quality lakini simba anakuwa na form then form is temporary but quality (class is permanent)
Yaaaana mgunda abang'ang'ania wachezaji waliochoka sijui kisa mi wabongo, yule kyombo kacheza nn nyoni mzee awez kasi ya vijana bokko wa nn sasaaaAlaumiwe Mgunda na sub zake za hovyo na kikosi. Ndani ya uwanja floppers wa kutisha ni Nyoni, Boko kama Kawa, yule Kyombo sijui ni kitete yaani fowards za kibongo huwa hazitulii kabisaaa mbele ya lango.
Ni hayo tu.
Hii ndo kauli ya kisoka. Huyu Kyombo ndo wiki iliyopita aliandikiwa Uzi humu kwamba ni forward Bora mzawa Kwa Sasa?Acheni kutafuta wa kumuangushia jumba bovu, mpira ni mchezo wa makosa.