Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,332
wadau
Hivi hawa wenzetu wanapokua huko majuu ni kwa nini most of them huwa wanafanya ulimbukeni tuuu instead ya kutumia nafasi wanazozipata kujiendeleza na kuiwakilisha vema tanzania, natoa mfano mdogo tu wa huyu mbuta nanga, hivi ana matatizo ya ubongo?? ukija kwa mange kimambi yani hana shughuli zaidi ya kufatilia maisha ya watu na kuandika umbea kwenye blog yake
role model wao lemutuz ndo hovyo kabisaaaaa
Hivi hawa wenzetu wanapokua huko majuu ni kwa nini most of them huwa wanafanya ulimbukeni tuuu instead ya kutumia nafasi wanazozipata kujiendeleza na kuiwakilisha vema tanzania, natoa mfano mdogo tu wa huyu mbuta nanga, hivi ana matatizo ya ubongo?? ukija kwa mange kimambi yani hana shughuli zaidi ya kufatilia maisha ya watu na kuandika umbea kwenye blog yake
role model wao lemutuz ndo hovyo kabisaaaaa