tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
yani hadi mavazi yao ni comedy...baba mashati makubwa mama machupi makubwa bila shaka.watoto pampers oversize zitawahusu
william malecela a.k.a le mutuz lazima alishanunua hizi kitu,hasa chu pi na hilo tishetiwadau
Hivi hawa wenzetu wanapokua huko majuu ni kwa nini most of them huwa wanafanya ulimbukeni tuuu instead ya kutumia nafasi wanazozipata kujiendeleza na kuiwakilisha vema tanzania, natoa mfano mdogo tu wa huyu mbuta nanga, hivi ana matatizo ya ubongo?? ukija kwa mange kimambi yani hana shughuli zaidi ya kufatilia maisha ya watu na kuandika umbea kwenye blog yake
role model wao lemutuz ndo hovyo kabisaaaaa
Ila mi namwona yuko poa sana anajituma,kujiachia hivo inahitaji moyo
yani hadi mavazi yao ni comedy...baba mashati makubwa mama machupi makubwa bila shaka.watoto pampers oversize zitawahusu
yani hadi mavazi yao ni comedy...baba mashati makubwa mama machupi makubwa bila shaka.watoto pampers oversize zitawahusu
Teh Tehdaaah hapa naona anaonyesha upaja na uhips,
hahaahaaaaaa Evelyn Salt, nilikumis sana upo? yani umenichekesha balaa
Teh Teh ..mbuta dish linakaribia kuanguka kabisa
huo mguu jamani jamani mweh....
Hihihihih dudu litakuwa na makengeza looooh
Teh Teh huyu Mbuta amebaki kufungwa kamba kabisa ...amerekodi video anacheza na taulo fupi+chupi daaaaaaa dunia ina watu..nasikia ni girl friend wa Edzen!
nmeiona hiyo video insta ha ha ha....nliona mahali eti mbuta nanga anamtumia edzen hela!!!!
dah edzen nae mmmh sahivi kifuatacho itv kitakua Isidingo make hakomi