Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

Maboso

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
5,164
Reaction score
5,762
Hatimae muda umewadia wa kumjua baba halisi wa mtoto wa Frola Mbasha



Baadhi ya matukio ya nyuma ..........

>>> MBASHA ADAI KUKOMBWA KILA KITU NA FLORA
[video=youtube_share;fUAGeSf63Ps]http://youtu.be/fUAGeSf63Ps[/video]


>>>BABA MBASHA: FLORA ALICHOKA KUISHI NA MWANANGU
"Baade nilipofika Ubungo nilimwita mkwe wangu (Frola Mbasha) aje anipokee, alinijibu anakuja lakini nilikaa pale masaa manne matano....."
[video=youtube_share;Q_oy76SK8XM]http://youtu.be/Q_oy76SK8XM[/video]
 

Attachments

  • IMG.jpg
    59.2 KB · Views: 10,549
Kazi kwel kwel. hongera zake, suala la baba wa mtoto watajuana yeye na mme wake wa zamani.
 
What about Rose!!??
Mtujuze kama kweli katoa mimba au kajifungua!!!!
 
Huyu mtoto ana bahati sana maana hata kabla hajazaliwa baba ake anamili Chopa..gues mtoto lazima aje kuwa billionare only and if asije kuwa na akili kama za LEMUTUZ..maana huyu jama licha ya kuwa ametoka kwenye udongo mbich ila yeye kawa mabua makavu
 
ya baba mchungaji wake yule kumbe alifaudu kitu kavu kavu mpaka mimba gwaji...a
 
hongera zake baba wa mtoto anamjua mama.ata sie atuna uhakika na baba zetu.utasema tunafanana lakini ni baada ya kuwa nae karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…