Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

hakuna kiumbe mbinafsi km wa kiume
angekua imma hapo watu wangepiga kimyaa
ila florah imekua ishuu
au ndo mtenda akitendewa!!!
 
Huyu fulora anaimbaga manyimbo ya kilokole eti!!! (kwa lafudhi ya kisukuma tafadhali)
Mbona sasa yeye anapenda ngono naamuna hii jameni.
 
Cheki pua
kama isuzu TXD 50
na hicho ndio kipimo cha sisi wazee.

Hivi Mungu wanayemuomba ni yupi?
 
Hivi ninyi mnaong'ang'ania mtoto ni wa fulani...

Baba zenu halisi mnawajua?

Watu8 AHSANTE SANA NAKUPA 97% KAMA NINGEKUWA MWALIMU WAKO...

PIA NAKUPONGEZA KWA KUWA NA UWEZO WA KUFIKIRI WA HALI YA JUU SANA..

TATIZO LETU NI KUWA TUNAPENDA USHABIKI WA KIJINGA KWANINI TUSIMWACHIE MUNGU MWENYEWE ATAJITHIBITISHA?

TUSIWACHONGANISHE TUWAACHE WAMALIZANE WENYEWE...
 
Last edited by a moderator:
hakuna kiumbe mbinafsi km wa kiume
angekua imma hapo watu wangepiga kimyaa
ila florah imekua ishuu
au ndo mtenda akitendewa!!!

Imeandikwa mwanaume akizini ni haki yake! Ila mwanamke ni dhambi!!!!! Katafute kwenye makabeli
 
Make sure your hands are clean before pointing your fingers to others! Wewe unamjua babaako ni nani?
 
Mbona watu wanapenda kuongea vitu hamna uhakika navyo wao wenyewe wanajua tusiwe wepesi kuhukumu jaman si vzur
 
Cheki pua
kama isuzu TXD 50
na hicho ndio kipimo cha sisi wazee.

Hivi Mungu wanayemuomba ni yupi?

Hata we unakosea! Mungu ndo ameumba hyo pua huna ruhusa kuikashf?halaf eti unauliza mungu yupi wanayemuabudu?
 
Kipi kinachokushangaza hapo Flora kuzaa nje ya ndoa "kama ni kweli" Kwani yeye ndiyo wa kwanza?,
Mbona mume wake kabaka Shemeji mbona wanaume wengi wamezaa nje ya ndoa weengi tu!
Acheni hizo mnajipandia laana kwa maneno ya vinywa vyenu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…