ama frola ama mbasha
hafanani na gwajima
Hivi ninyi mnaong'ang'ania mtoto ni wa fulani...
Baba zenu halisi mnawajua?
hakuna kiumbe mbinafsi km wa kiume
angekua imma hapo watu wangepiga kimyaa
ila florah imekua ishuu
au ndo mtenda akitendewa!!!
Cheki pua
kama isuzu TXD 50
na hicho ndio kipimo cha sisi wazee.
Hivi Mungu wanayemuomba ni yupi?
Hivi ninyi mnaong'ang'ania mtoto ni wa fulani...
Baba zenu halisi mnawajua?