Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

Kwa ili sina uakika sana ila uyu jamaa kwa kuchapachapa wake za watu hodari sana mnakumbuka ile ya masaki alikula kipigo na mume wa mtu na ndo sababu ya kutembea na bodygud. Mtu wa mungu uyooo
 
Kipi kinachokushangaza hapo Flora kuzaa nje ya ndoa "kama ni kweli" Kwani yeye ndiyo wa kwanza?,
Mbona mume wake kabaka Shemeji mbona wanaume wengi wamezaa nje ya ndoa weengi tu!
Acheni hizo mnajipandia laana kwa maneno ya vinywa vyenu!


Tatizo anasema yeye ni mtu wa mungu tena wamempokea
Bwana
 
Imeandikwa mwanaume akizini ni haki yake! Ila mwanamke ni dhambi!!!!! Katafute kwenye makabeli

ndo maana wao kutwa kuleta watoto wa nje ila akifanya mke
talaka na laana ukoo mzima
 
ndo maana wao kutwa kuleta watoto wa nje ila akifanya mke
talaka na laana ukoo mzima

Duh wewe ni shiiidaaa .pole kwa mwenza wako .au wewe ndiye Flora .mwanaume akizaa nje anaongeza ukoo wao je wewe ukizaa nje unaongeza ukoo wa baba yako ?,think twice !
 
Unajisikia fahari kuleta damu ya koo nyingine kwenye koo ya mumeo ili baadae ulete maafa .yawezekana hata misahafu huijui
 
Duh wewe ni shiiidaaa .pole kwa mwenza wako .au wewe ndiye Flora .mwanaume akizaa nje anaongeza ukoo wao je wewe ukizaa nje unaongeza ukoo wa baba yako ?,think twice !

ndo tatizo lenu wanaume hampendi kuambiwa ukweli mchungu kiapo cha pale kanisani tunaapa wote

mimi sio florah na wala mme hajanifanyia hvyo

ila mbasha kwa wanaomjua ni kicheche hatari huo ndo ukweli namjua sana emma
 
ndo tatizo lenu wanaume hampendi kuambiwa ukweli mchungu kiapo cha pale kanisani tunaapa wote

mimi sio florah na wala mme hajanifanyia hvyo

ila mbasha kwa wanaomjua ni kicheche hatari huo ndo ukweli namjua sana emma

Hivi kaka yako akikuletea mtoto wa nje ya ndoa na baadae mke wa kaka yako akakuletea mtoto wa nje ya ndoa wewe utamlea mtoto yupi .ukipewa uchague mmoja .hata kama emma ni kicheche bado hiyo si tiketi ya flora kuzaa na mtu mwingine
 
Hivi kaka yako akikuletea mtoto wa nje ya ndoa na baadae mke wa kaka yako akakuletea mtoto wa nje ya ndoa wewe utamlea mtoto yupi .ukipewa uchague mmoja .hata kama emma ni kicheche bado hiyo si tiketi ya flora kuzaa na mtu mwingine

kosa kuzaa hapo sikatai ila florah asirushiwe sana mawe
ndoa bwana sijui nisemeje
 
kosa kuzaa hapo sikatai ila florah asirushiwe sana mawe
ndoa bwana sijui nisemeje

Geniveros watu hawajui tu mateso mangapi ameyavumilia kwa mbasha ni Mungu tu anajua jinsi mbasha alivyo mnyama na katili na frola alimtamani sana mtoto siku nyingi mimba insingia ndio maugomvi yamekolea mtoto ni wa mbasha wanamchafua tu flola lakini Mungu atampigania mi nawafahamu sana hawa kwa karibu mbasha ni mnyanyasaji alikuwa anamnyanyasa na kumpiga sana flola ni vile mwanamke anaishia kukandamizwa
 
hahahahahahhaaaa nimeiona ile picha aiseee full mtumishi, ndio tatizo la watoto wa nje ya ndo. Niko nazo pia kuna mahali nimezipata. Dah inauma sana aiseee

Eti full mtumishi......lol
 
ondoa uzushi wako wa kishetani hapa. Kwenda huko pepo uwongo!!!!!!!!!!!.

Pyuuuuuuuuuu!.

Mtaendelea kujijengea laana hadi lini? Mtamsaidia shetani huku mkidhani mnajifurahisha hadi lini? Kwenda zako kule.
daima ukweli huuma.
Ni sawa na dawa
chungu lakini ......
....
 
Geniveros watu hawajui tu mateso mangapi ameyavumilia kwa mbasha ni Mungu tu anajua jinsi mbasha alivyo mnyama na katili na frola alimtamani sana mtoto siku nyingi mimba insingia ndio maugomvi yamekolea mtoto ni wa mbasha wanamchafua tu flola lakini Mungu atampigania mi nawafahamu sana hawa kwa karibu mbasha ni mnyanyasaji alikuwa anamnyanyasa na kumpiga sana flola ni vile mwanamke anaishia kukandamizwa

asante ndugu yangu
wangejua upande wa pili wa emma au aliyofanyiwa florah ndo wangefanyiwa dada zao naona viatu vile vya florah mi sijui km ningevivaa maana nahisi ni size 22 ht km uvumilivu florah ameweza

na nna uhakika %nyingi mtoto wa mbasha huyo
 
Tito 1:7
Maana imempasa Askofu asiwe mtu wa kushutumiwa kwa LOLOTE kwa kuwa ni WAKILI wa Mungu
Mchungaji wangu Gwajima hali ndiyo imefikia hapo kweli?nikuulize swali ni kwa nini hasa ushutumiwe kwenye mambo kama hayo??????????hivi unafahamu historia ya hao watu wawili??unaonaje ukiheshimu kazi ya yule mzee wetu aliyetangulia kwa kuheshimu familia yake????halafu mbona yule mzee wetu aliyeheshimika sana kwa kazi iliyotukuka hakushutumiwa kwenye mambo kama hayo???mchungaji jiangalie upya


mbashaaaaa.jpg
 
Back
Top Bottom