chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Akikuleteapicha utamwita. Stupid a ama punguza ukaliwamaneno kijanaStupid Post kama akili yako ilivyo. Hiyo story peleka Issa michuzi
Kawe Preacher!!
Ningekuwa natokea familia ya GWAJIMA ama ya MBASHA ningesema kwa kuangalia tu ningejua, lakini kwa vile simo kati ya hizo familia siwezi fahamu chochote.Kama umesomea ebu tuambie umeelewa nini apo mkuu
Acheni kumsingizia Gwajima bila ushahidi wowote......... sometimes kama huna uhakika na kitu ni bora kukaa kimya kuliko kuchafua Watumishi wa Mungu ....
Those who live judging their neighbours, speaking badly of them, are hypocrites because they dont have the strength, the courage to look at their own defects, by Pope Francis
Kwa wale ambao wamesoma mambo ya "REMOTE SENSING" kuna kitu kinaitwa "Recognition at first glance" yaani ukikiangalia kitu kwa mara ya kwanza na ukiwa na ujuzi wa hayo mambo, unajua tu kuwa hiki ni kitu gani.
REMOTE SENSING- Is the science of obtaining/recording/identifying/perceiving(sensing) information about an object or area from a distance typically from aircraft or satellite without being in contact with it.
Kwa hiyo mtu akililia wembe mpe ni sahihi? Mkuki kwa....as long as hakuna anaetoa hela ya matumizi ya mtoto sidhani kama ni kazi ya mtu yoyo kujua Baba mtoto ni nani,sababu hakuna mtakacho zidisha mkijua wala mtakacho punguza mkijua............
Hao ni watu wazima na mamuzi yao,hayo ya mtoto akililia wembe sijui una maanisha nini sababu hapo hakuna mtoto mdogo wote ni watu wazima na shughuli zao.............Kwa hiyo mtu akililia wembe mpe ni sahihi? Mkuki kwa....
Wewe unadhani Mbasha hana maumivu kama wewe ulivyo na mtoto wa shemejio?Hao ni watu wazima na mamuzi yao,hayo ya mtoto akililia wembe sijui una maanisha nini sababu hapo hakuna mtoto mdogo wote ni watu wazima na shughuli zao.............
Kwa vyovyote vile mimba iliingia mwezi April 2014 kama taarifa zako ni sahihiMkuu ugomvi wao ulikuja public mwezi mei mwaka na wakat huo flora hajagongana na mume wake miez miwili. Kwa hyo mbasha aliona ndani mara ya mwisho mwezi march mwaka Jana. Sasa toka cku hyo mpk Leo ni miez mingapi
Because Iam not belonging to neither Gwajima nor Mbasha family, my Recognition at first glance cannot work well. In order it to work well you must be familiar or experience with the situation or object or area. In Recognition at first glance there something known as "Compare and Contrast" In regard with this matter, I cannot do compare and contrast, because I lack something, but I if I could be belonging to one of the family I could say something after Recognition at first glanceWhat is your recognition at first glance with regard to the subject?.
Wapi nimesema kama Mbasha Hana maumivu? nadhanani umenisoma vibaya..Wewe unadhani Mbasha hana maumivu kama wewe ulivyo na mtoto wa shemejio?