Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

Flora Mbasha ajifungua, nani baba wa mtoto?

mtoto kafananaaaa na baba ake huyoooo
daaah!!
mpaka raha

hahahahhahaha, unajua kupambisha wewe.
Hebu mpeni moyo mbasha anaweza kurudisha moyo nyuma wakalea mtoto.
Kitanda hakizai haramu kumbuka
 
Same old Flora Same old Aunty Ezekiel. Same old Gwahela Same old Nyahela
 
Mwenzangu naona teknolojia inanishinda kutumia naona picha imegoma kuatachika,Flora kajifngua mtoto anafanana na naniliiiiii kabisakabisa
lin pole sana. Kwa hiyo huyo mtoto ataitwa bini au binti nani? Au binti naniliii. Da jamani. Mwenye nayo mtusaidie kuatachi tuone
 
Last edited by a moderator:
Ugomvi wao ulikuzwa sana na watu wakiojipenyeza kwa maslahi yao kwenye hiyo ndoa. Ni wao kusimama kama mume na mke kuangalia watoto wao.
Ni wakati sasa mchungaji akasimama kichungaji aachane na kuingilia familia hiyo.
 
wanawake bana ni viumbe wa ajabu sana uwe na hela, uwe huna, unaweza adhirishwa vibaya sana mpaka ukaona dunia yote ni pango la majizi! sasa hapa huu si utata mkubwa aibu kwa kila upande! Lol
 
wanawake bana ni viumbe wa ajabu sana uwe na hela, uwe huna, unaweza adhirishwa vibaya sana mpaka ukaona dunia yote ni pango la majizi! sasa hapa huu si utata mkubwa aibu kwa kila upande! Lol
Ndio Mama zetu, ndio dada zetu name ndio wake zetu.
 
Mwenzangu naona teknolojia inanishinda kutumia naona picha imegoma kuatachika,Flora kajifngua mtoto anafanana na naniliiiiii kabisakabisa

Uwiiiii huyu nae
 
hahahahhahaha, unajua kupambisha wewe.
Hebu mpeni moyo mbasha anaweza kurudisha moyo nyuma wakalea mtoto.
Kitanda hakizai haramu kumbuka

wala my binamuuu
we unamuonaje kwani?
anafanana kweli na baba ake halisiiiiii
 
Mwenzangu naona teknolojia inanishinda kutumia naona picha imegoma kuatachika,Flora kajifngua mtoto anafanana na naniliiiiii kabisakabisa

Ngoja wadau watusaidie
 

Attachments

  • 1423059894951.jpg
    1423059894951.jpg
    53.1 KB · Views: 748
  • 1423059950640.jpg
    1423059950640.jpg
    67.9 KB · Views: 726
Haka katoto kataleta mambo, hakafanani na Gwajima wala Mbasha. Kanafanana na naibu waziri wa fedha.
 
Back
Top Bottom