Flora Mbasha, amekimbilia mahakama ya hakimu mkazi Kisutu


Afadhali unenisaidia kuweka huo mstari wa kukiri....

Mtazamo alinifanya nijiulize maswali!
 
Lakini tusikimbilie kumhukumu jamani...ndoa zina mambo nyie. Kama yako imetulia mshukuru.Mungu. Wapendwa nowdays ndo wanaongoza kwa ndoa mbovu, bora hawa hawajawa wanafiki km wengine. Wameweka wazi ili wasaidiwe. Kuliko kumsimanga mtu wakati wa taabu yake ni bora ukamuombee rehema za Mungu.

Ayubu 7:1 "Je! mtu hana wakati wake wa vita juu ya nchi?"

Tafakari!
 
Hivi anavyoimba hakuna jambo gumu la kumshinda Mungu alikuwa ana maana gani?maana inaonekana Mungu ameshindwa kuwaunganisha tena mpaka kuamua kukimbilia mahakamani.Halafu naomba nikuulize Dada yangu flora mbasha,unaweza kuishi kuanzia leo ukiwa binti mpaka uzee wako bila tendo la ndoa? Maana hata mahakama ikikupa talaka lakini Mungu atambui kuachana kwenu hivyo utakuwa unaishi maisha ya uzinzi
 
Ukichunguza maandiko mengi yanazungumzia ndoa kama kitu kisicho na ukomo hadi kifo.........sehemu ambayo baadhi ya Wakristo wanatumia kusimamia ruhusa ya talaka ni huo mstari tu ambao tafsiri yake bado inaubishani wa muda mrefu sana......lakini ukisoma Marko 10 katika mistari niliyoweka hapo chini utaona jinsi Yesu anavyosema juu ya Talaka .........baada ya ndoa mnakuwa mwili mmoja......neno mwili mmoja linafunga kabisa uwezekano wowote wa kuwepo watu wawili kutoka katika mwili mmoja ..........kila mstari utakaousoma hapa chini ni kamilifu na hautoi fursa ya kuvunja ndoa ...........suala ya utengano kiroho umeliandika kana kwamba utengano huo ukitokea basi unakuwa permanent......lakini tunaona hata tunapotenda dhambi tunakuwa na utengano na Mungu kiroho pia lakini kupitia kitubio tunaunganishwa nae ..............hebu tafakari vizuri maandiko haya mkuu .............


Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamwuliza, Je! Ni halali mtu kumwacha mkewe? Huku wakimjaribu. 3 Naye akajibu, akawaambia, Musa aliwaamuru nini?
4 Wakasema, Musa alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha.
5 Yesu akawaambia, Kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu aliwaandikia amri hii.
6 Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke.
7 Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe;
8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.
9 Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.
10 Hata nyumbani tena wanafunzi wakamwuliza habari ya neno hilo.
11 Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;
12 na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.





 

waachane tu maana tumechoka kusikia habari zao hawa watu!
 
kwani we mtoa mada frola alivotoka mahakamani amekuja kwako kuomba ushauri?
 

Good for Emmanuel Mbasha, aachane tu na huyo mwanamke, she is a professional cunt!
 
Ngoja na wewe nikudai talaka ndo utajua yanakuhusu au lah...

hapa piga ua talaka yangu sitatoa,
hapa piga ua talaka yangu sitatoa,
ama sivyo ww bwana nitakuonyesha!!
Cc msondo au sikinde
 
Ana kawezele kimtindo,aachike tu tuendelee kuzini nae!
 
Prostitute mzoefu anayetumia jina la bwana Yesu kuficha umalaya wake...Flora malaya sana...!!!
 
You have said it all Ablessed .. Marry Christmas and happy new year to you and family dearest.
Thank you i wish you the same ,may the almighty God bless you and fulfill your dreams for the coming new year and the Joy of our Lord Jesus Christ be with you always.
 
Mambo za wanawake hizo,,wazee wetu walikuwa na akili sana na ile dhana ya kumwamini mwanamke kihisia.
 

Kuokoka ni mara moja tu kijana n hapa chini ya jua hakuna mkamilifu isipokuwa tunakamilishwa na kufanywa upya siku hadi siku kwa neema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…