Flora Mbasha anakualika kwenye ndoa yake

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Kesho flora mbasha (kwa sasa anapenda kuitwa madam flora) anapenda kukualika kesho kwenye ndoa yake itakayofanyaka jijini Mwanza
Kama wewe ni shabiki wake kama upo single unaweza kutoa sh.50,000 au uko double unatoa sh 70,000 upate nafasi ya kushuhudia harusi yake na mumewe mtarajiwa Daudi Kusweka
Madam pia atazindua albam yake mpya




 
huyu dogo kapotea njia kabisa anaoa mkweche wakati yeye namwona bado hajawahi kuwa kwenye ndoa. Kuna siku atatamani kitu fresh aone kikoje kwani anaanza ndoa na mama aliyekwisha kaa ndani ya ndoa muda mrefu. hii nayp haita survive
 
Dogo atapelekeshwa ile mbaya na kiukweli sioni future hapo
 
Analiaibisha Jina la YESU,ameubili vizuri jina la Yesu kwa injili leo ni mzizi kwani maandiko yanasema haruhusiwi kuolewa hadi aliyefunganaye ndoa ya kwanza afe.Huo anaofanya sasa ni uzinzi
Jamani sasa atakufa lini?
 
Hapo kwenye picha ni baada ya kugegedana au kabla?

Maana kwa ufuska huyu mama hatumuwezi.

Team mapovu njooni.
 
Analiaibisha Jina la YESU,ameubili vizuri jina la Yesu kwa injili leo ni mzizi kwani maandiko yanasema haruhusiwi kuolewa hadi aliyefunganaye ndoa ya kwanza afe.Huo anaofanya sasa ni uzinzi

Kwa hiyo kama hajafa inabidi asubiri tu mumewe apige game za nje mpaka lini??
.
Analiaibisha Jina la YESU,ameubili vizuri jina la Yesu kwa injili leo ni mzizi kwani maandiko yanasema haruhusiwi kuolewa hadi aliyefunganaye ndoa ya kwanza afe.Huo anaofanya sasa ni uzinzi

Asubiri mpaka Afe??..wakati anapiga game za nje kama kawa huko alipo?
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…