Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anakosea,ingekuwa ni mimi ningemtafuta mrembo mkali,mbona flora kashazeeka libonge,huwezi kumfananisha na jamaa,ningekuwa Mimi ningeshukuru mungu kunifanya free ningeoa katoto cha kuanzia miaka 20,jamaa naye zumbekuku kweli
Watu wengine bwana...hivi Flora kinachomzuzua ni nini? Sura mbovu shepu hovyo..... Ningekuwa ndo mimi na sura yangu mbovu hii nipate mwanaume kama Emmanuel yan ningekuwa mpole kama nanyolewa
Mzee Kulola aliipinga sana hiyo ndoa!! Alisema Flora bado mdogo, na huyo kijana hajatulia... Wapambe kama kawaida wakaleta maneno eti wanamnyima sababu dreva taxi maskini!! Kumbe mzee alioba mbali
Jamaa anakosea,ingekuwa ni mimi ningemtafuta mrembo mkali,mbona flora kashazeeka libonge,huwezi kumfananisha na jamaa,ningekuwa Mimi ningeshukuru mungu kunifanya free ningeoa katoto cha kuanzia miaka 20,jamaa naye zumbekuku kweli
Hawezi kwa sababu alimtumia flora kama mtaji...
Laiti mngejua aliyoyapitia na anayoendelea kuyapitia flora msingesema
Laiti mngejua uongo anaousambaza mume wa flora mngesikitika
Flora ishu tu ye na pastor wake ni uwongo?zile tetesi za kupelekwa mpaka UK,akigombana kidogo na mme pastor anampeleka akaishi kwenye hotel,aisee hivi ushaangalia video za flora hata akiongea unajua ni msanii,hapo anataka talaka ili amegwe kwa uhuruHawezi kwa sababu alimtumia flora kama mtaji...
Laiti mngejua aliyoyapitia na anayoendelea kuyapitia flora msingesema
Laiti mngejua uongo anaousambaza mume wa flora mngesikitika
Ni uongo upi ndo utuambie wewe sasa....sisi tunaongea na kutoa maoni juu ya yale tunayoyaona. Kama kuna yaliyo chini ya carpet ndo yasemwe
Tatizo jamaa anapenda ganda la ndizi
ndo ubaya wake,kuna mengine mwanaume lazima awe na maamuzi magumu ndo ataheshimika
Hayo ya utegemezi na mengine ndo hyo flora kayajua leo?
Uongo tu!
Ngoja Niwaambie kitu...mwanaume akitoka nje ya ndoa si rahisi ndoa kujuvunjika lkn mwanamke ni rahisi!Kwasbb Mungu alivyotuumba mwanamke ndo anabeba kila kitu.
Hili somo pana...ila kwa leo tuishie hapa
kwa maisha ya siku hizi kuoa ni kipaji