Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo


Aisee.. Watu na profession zenu bwana!
 
Nafahamu kwenye Biblia inaeleza ndoa inaweza kuvunjika kama
Mmoja wapo alifanya uzinzi nje ya ndoa. Pili endapo mtu anataka kukutoa kwenye Imani hebu tafuteni hio mistari.
Mathayo 5:32, Mathayo 19:9 1Wakorintho 7:15.
 
Dah!
Maandiko ya biblia yamekiukwa inaonekana hayana maana, tena
 
Hebu someni maandiko vizuri najua alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe isipokua kifo au uzinzi so ukithibitisha mwezako anachepuka talaka tu ingawa Mungu haipendi kwakua hapendi kuachana.
Hilo la uzinzi nimelisikia kwao.
Ngoja niende kwa biblia kwanza ntarudi
 
Kwenye Biblia ya Kiingereza imendikwa hivi; " And I say to you, whoever divorces his wife, except for sexual immorality, and marries another, commits adultery; and whoever marries her who is divorced commits adultery "
 
Kama wewe Ni Mwanaume Jitahidi kutomuamini Mwanamke maana mwanamke Hachelewi kukusaliti ni Matumaini Yangu Flora alimwambiaga Mume wake Kwamba Kifo Ndio Kingewatenganisha lakini sasa Hicho hakikuwatenganisha...nA Leo anaolewa tena....Wanaume Jifunzeni kitu Hapo i know wanaume tuna tamaa hata ikitokea tukasaliti wapenz au wake zetu ni kwa tamaa za wakati huo tyu bali yale mapenzi ya dhati yanakuwa Bado yapo kwa wenzi wetu tofautu na mwanamke akichepuka ndo keshapenda mrengo wa kushoto na wewe huna chako tena hapo Na huwa nachekaga sana Pale nikikumbuka yule binti Nilimpendaga akaniambiaga Kwamba mimi na wewe hatutoachana Milele lakini leo hata salamu Hakuna......Anyway Nmamtakia Flora Bahati Njema!
 
Kweli machangudoa wapo kila sehemu, Kumbe hata waimba nyimbo za enjili nao ni wahuni kiasi hili? Hivi hao wanaokwenda kumsikiliza Frola wanaupako sawa sawa? Tangu lini NDOA iliyofungwa kanisani ikavunjwa na mahakama na bado ukenda olewa tena?
Mkuu hebu tupe sheria za ndoa zinasemaje
 
Kwenye Biblia ya Kiingereza imendikwa hivi; " And I say to you, whoever divorces his wife, except for sexual immorality, and marries another, commits adultery; and whoever marries her who is divorced commits adultery "
Tafsiri ya haraka, ikiwa mume atamtaliki mke kwa sababu nyingine yoyote, asioe tena kwa kuwa atakuwa anadhini. Mke aliye achika naye akiolewa, basi huyo aliyemuoa anadhini. Hapa haijamzungumzia mwanamke. Lakini, ikiwa amemtariki kwa sababu za uzinifu, mume anaweza kuoa tena.
 
Maswali ya kujiuliza kwa jambo hili: Je kila ndoa imefungwa na Mungu? Na Je! Ikiwa mwanadamu hawezi kutenganisha kilichofungwa na Mungu, yeye Mungu aweza kukitenganisha? Ikiwa Mungu anataka kutenganisha ni lazima amuue mmoja wa wanandoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…